Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Awe na mdhamini,
elimu kuanzia darasa la saba,
Umri kuanzia miaka 18,
Awe na afya njema,
Form four na kozi ya Computer ni Sifa ya ziada!!
Kazi yake kuu ni kulea mtoto mmoja,kufua nguo na kuchota maji.
Muda wa kazi ni kuanzia saa kumi na mbili asubu hadi saa tisa jioni!
Chakula,malazi,mavazi na matibabu kwangu!
Likizo itatolewa kila baada ya miezi sita!
Mshahara ofa yangu inaanzia 100,000/=
elimu kuanzia darasa la saba,
Umri kuanzia miaka 18,
Awe na afya njema,
Form four na kozi ya Computer ni Sifa ya ziada!!
Kazi yake kuu ni kulea mtoto mmoja,kufua nguo na kuchota maji.
Muda wa kazi ni kuanzia saa kumi na mbili asubu hadi saa tisa jioni!
Chakula,malazi,mavazi na matibabu kwangu!
Likizo itatolewa kila baada ya miezi sita!
Mshahara ofa yangu inaanzia 100,000/=