Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau naomba msaada wenu, mimi kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi niliacha sasa ni mwezi mmoja. japo nimepata kazi ya kujishikiza, nina shida sana ya kuchungua MICHANGO ya NSSF ambayo nimechangia...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mimini Graphic Designer nina uzoefu wa miaka 2.5, nimefuzu kozi za: Photoshop, Illustrator, Quarke Express, ColarDraW na Pagemaker contact with my email: digitalsimage@yahoo.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kipo kibaha mwembe saba kwa mathias 0.5km toka barabarani size nusu heka bei 6.5mil call 0716099463
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau natafuta Tractor aina ya Marsey Furgeson ya Horse Power80 iwe brand New. Nikipata bei pamoja na Jembe lake nitashukuru sana kwa wale wa UINGEREZA wanaweza nipa Bei hadi kufika hapa TZ au ya...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Leyland tiger, 245 hp, tl111 bei mil. 35 mawasiliano 0757165818/0764562325 nataka kulipa madeni. Mtikisiko wa uchumi
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tsup guys..... Nauza iphone 3gs 16 gb ipo katika good condition kabisa. Lots of apps and games. The phone is jailbroken and you got a chance to download any app you want.... Some of the apps...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Corola limited inauzwa bei mil 3. Piga # 0788550005. Iko poa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi nifundi alminium,natengeneza, madirisha, milango, pamoja na ainayote ya display showcas za madukani, na mahotelini.pia nina funga wollshelf za aina yote, kwenye salon za kike nazakiume. Nipo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa yeyote mwenye pikipiki ambayo iko kwenye hali nzuri kwa ajili ya biashara naomba contact.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
HAYA TENA WANA JF KUNA NYUMBA INAUZWA SINZA KARIBU NA LION HOTEL IMEPAKANA NA BARABARA YA KWENDA KWA MWAIBULA. NI MAKAZI YA MTU, NA INA ENEO KUBWA PAMOJA NA MABANDA YA UWANI. INAFAA KWA LODGE AU...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kipo kibaha mwembe saba kwa mathias 0.5km toka barabarani size nusu heka bei 6.5mil call 0716099463
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani natafuta vile vipikipiki vidogo a.k.a scooter coz trafic jam zimenichosha., mwenyekujua wanapo viuza na range ya bei zak naomba anijuze., thnks wakuu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tunauza (mimi na rafiki angu namsaidia kuuza) nyumba! haina matatizo unatoa pesa leo unapewa nyumba yako hapo hapo karibuni sana!!!
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Wakuu kama unafaham mtu yeyote anapangisha nyumba hapa jijini Dar es Salaam naomba nipatie contacts.. nyumba inahitajika kwa ajili ya kupangisha..iwe ni kati ya Tsh150,000/- na Tsh 250,000/-...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
It is situated at Mbezi Beach in Kinondoni Municipality not very far under construction the new Bagamoyo Road. The House has 4 big bedroom, the far most big one is the master suite with which has...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kiwanja kizuri kabisa kina 2219sq mtr, bei yangu ni 4000 kwa sqmt moja, so ni 8,876,000. Nauza bei hii kwasababu nimeshakiendeleza, nimekisafisha vizuri, nimezungushia nguzo za zege kiwanja...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
mileage 64,000 km colour metallic blue 17' alloy rims imetumika mwezi mmoja tu Tanzania
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Tafadhali kwa ambaye anafahamu, hivi Suzuki Escudo old model za miaka ya 199...katika showrooms za hapa bongo naweza kupata kwa bei gani? naombeni msaada wa mawazo pia kuhusu chaguo langu hilo.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau TOYOTA Noah 2002 Model, MIllage 70,000 KM Mettalic , Ina chasiss number(Ishasajiliwa inasubiri number TRA) ndio imetoka bandarini. Bei 14Mill
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania..nimejaaliwa kuwa na kipaji cha utunzi na uandishi wa riwaya.. Hadi sasa nimeishatunga riwaya nne kali.. Bahati mbaya 2 kuna mtu alijitolea kunisaidia lakini baadae...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom