Wadau naomba msaada wenu, mimi kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi niliacha sasa ni mwezi mmoja. japo nimepata kazi ya kujishikiza, nina shida sana ya kuchungua MICHANGO ya NSSF ambayo nimechangia...
Mimini Graphic Designer nina uzoefu wa miaka 2.5, nimefuzu kozi za: Photoshop, Illustrator,
Quarke Express, ColarDraW na Pagemaker contact with my email: digitalsimage@yahoo.com
Wadau natafuta Tractor aina ya Marsey Furgeson ya Horse Power80 iwe brand New.
Nikipata bei pamoja na Jembe lake nitashukuru sana kwa wale wa UINGEREZA wanaweza nipa Bei hadi kufika hapa TZ au ya...
Tsup guys..... Nauza iphone 3gs 16 gb ipo katika good condition kabisa. Lots of apps and games. The phone is jailbroken and you got a chance to download any app you want.... Some of the apps...
Mimi nifundi alminium,natengeneza, madirisha, milango, pamoja na ainayote ya display showcas za madukani, na mahotelini.pia nina funga wollshelf za aina yote, kwenye salon za kike nazakiume. Nipo...
HAYA TENA WANA JF KUNA NYUMBA INAUZWA SINZA KARIBU NA LION HOTEL IMEPAKANA NA BARABARA YA KWENDA KWA MWAIBULA. NI MAKAZI YA MTU, NA INA ENEO KUBWA PAMOJA NA MABANDA YA UWANI. INAFAA KWA LODGE AU...
jamani natafuta vile vipikipiki vidogo a.k.a scooter coz trafic jam zimenichosha.,
mwenyekujua wanapo viuza na range ya bei zak naomba anijuze.,
thnks wakuu
Wakuu kama unafaham mtu yeyote anapangisha nyumba hapa jijini Dar es Salaam
naomba nipatie contacts.. nyumba inahitajika kwa ajili ya kupangisha..iwe ni kati ya Tsh150,000/- na Tsh 250,000/-...
It is situated at Mbezi Beach in Kinondoni Municipality not very far under construction the new Bagamoyo Road. The House has 4 big bedroom, the far most big one is the master suite with which has...
Kiwanja kizuri kabisa kina 2219sq mtr, bei yangu ni 4000 kwa sqmt moja, so ni 8,876,000. Nauza bei hii kwasababu nimeshakiendeleza, nimekisafisha vizuri, nimezungushia nguzo za zege kiwanja...
Tafadhali kwa ambaye anafahamu, hivi Suzuki Escudo old model za miaka ya 199...katika showrooms za hapa bongo naweza kupata kwa bei gani?
naombeni msaada wa mawazo pia kuhusu chaguo langu hilo.
Mimi ni kijana wa kitanzania..nimejaaliwa kuwa na kipaji cha utunzi na uandishi wa riwaya..
Hadi sasa nimeishatunga riwaya nne kali..
Bahati mbaya 2 kuna mtu alijitolea kunisaidia lakini baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.