HP Compaq dc7600 Convertible Minitower
Intel Pentium 4 CPU 3.20GHz (2 CPUs)
1024MB RAM
300 GB HDD
Ms Windows XP Professional Service pack 2
2 DVD ROMs
Pamoja na: Monitor Dell 17 Inch...
Wadau nimeambiwa kuna mtu anauza Universal moderm ambayo naweza kutumia laini yoyote..Kama ipo contact zako tafadhali usisahau kunitupia na gharama ya mzigo wenyewe
Thanks
Wana JF nauza gari yangu aina ya L/Rover Discovery Engine TDI 200 ya mwaka 1993.
gari ipo DSM ipo katika hali nzuri inatembea. wasiliana nami kwa namba 0715 315496
habari wandugu nauza gari aina (daladala) aina ya ford mwaka 1992 ina hali nzuri bei maelewano picha hapo engine diseal kuna spare ingine na gear box nyingine
Member wanahitajika kwa mradi unaotarajiwa kuanza haraka mkoani morogoro. Fika ofisini kwetu Tabata Aroma kwa maelezo zaidi au piga simu # 0715922392, 0767922392, 0714025656, 0767025656, au email...
Poleni na majukumu wapendwa wana JF wote.
Ninatafuta chumba cha kupanga maeneo ya Kinondoni (Moroco au hapo block 3 karibu na biafra).Kwa yeyote mwenye taarifa au ana chumba anapangisha naomba...
NEW ERA LEARNINH CENTER ni kituo bora cha elimu ya sekondari kwa wanafunzi wa kujitegemea:
QT, IV, VI kwa miaka mitatu pia tunamadarasa ya watu wa OPEN UNIVERSITY
tupo ubungo N.H.C shule ya...
Hi wana JF wote,
Natafuta wanunuzi kuni za jumla.
Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo yalipo mashamba hayo ni mkoa wa Pwani, umbali wa kilometa...
HAYA TENA WANA JF KUNA NYUMBA INAUZWA SINZA KARIBU NA LION HOTEL IMEPAKANA NA BARABARA YA KWENDA KWA<strong> MWAIBULA.</strong> NI MAKAZI YA MTU, NA INA ENEO KUBWA PAMOJA NA MABANDA YA UWANI...
Tunatengeneza,milango,madirisha,oficepatition,wollshelf za aina yote, salon zakike nazakiume.napia tuna tengeneza display showcase za ainazote.
0652 394427.beini za kiujamaa kabisa.
Jamani nina plot nauza ipo Nyamhongoro Block B, ina ukubwa wa sq m 640 (21mx30m) ina bomba la maji na nguzo ya umeme, ina vyumba 4 , library,dining, stoo , sebule na kitchen. Nyumba iko kwenye...
Nyumba kubwa inauzwa. Ipo Mtoni kwa Aziz Ali, Dar es Salaam, karibu sana na Kilwa Road. Ina vyumba vya kulala 3 (kimoja master), sebule kubwa, jiko na stoo. Pia kuna banda la uani – vyumba 5...
pata Laptop mpya kabisa! Kuna Getway core 2 duo, hard disk 500gb, ram 4gb bei laki 8 na nusu. Hp dv6 core i3, hard disk 500gb, ram 4gb, 3.0ghz bei laki 9. Kuna hp dv6 amdquadro hard disk 720 gb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.