Ina vyumba 5 na eneo lenye ukubwa wa zaidi ya nusu ekari,nyumba ipo temeke mikoroshini.Ina umeme na maji pia location nzuri sana- barabarani
Bei Tshs 35 mil
piga 0757895112,0715467447
Kwa watanzania wenzangu ambao watapenda kuagiza magari,vyombo vya muziki,vifaa vya elektronik kutoka Japan,napenda kuwajulisha kuwa kuna kampuni ya Mtanzania anayeishi huko Japan inaitwa Brilliant...
Wadau kuna air condtion za kizamani(wall unit) zinauzwa,ziko katika hali nzuri na zinafanya kazi,pia kuna office furniture kama vile meza kubwa(chinese) ,executive chairs na office chairs..bei ni...
Tunatengeneza aina mbali mbali za fanicha kwa kutumia mbao ngumu kama mninga,mkongo,mvule na mpande karakana yetu iko sinza palestina Dar es salaam,tunatengeneza makabati ya jikoni pia,wasiliana...
hi.am tanzanian i need someone to sponsor my studies at institute of information technology here in Tanzania but i don't have parents all died.if you have ability pls help me.contact me through...
zHello kuna used two stroke bajaj (miguu 3) inauzwa Tsh 1.5ml mazungumzo yapo kwa aliye na uhitaji
Kadi original,bima na ina vibali vyote vipo na inatembea.Inapatikana cinza Dsm
Mawasiliano 0787883059
Kama wewe ni msichana au mwanamke ambaye huna mpenzi lakini unahitaji kumpata,ninauwezo wa kukupa ushauri muafaka.Nitafute kupitia mlimbwa1977@yahoo.com.Sitaki usumbufu kwa wanaume wenzangu.
Ndugu wanajf nauza iphone 3Gs nzuri nimeitumia miezi michache tu haina mikwaruzo na inatumika kwa namza zote za Tanzania, ina cover yake, chaja na earphone zinatwanga vyema. Bei ni 449,000/- Kwa...
Iko tovuti ya kitanzania inayotoa vitu kama vile miziki ya dini,bongofleva,picha,themes n.k bure kabisa(100%) na pia mambo mbalimbali kuhusiana na mapenzi kwa ujumla,tembelea(WWW.JOMLA.WEN.SU)...
Wengi wetu haswa sisi tunaopenda kukaa katika viti virefu aka SUKA YA BISENGO maeneo ya Sinza,Mbezi,Mikocheni,K'nyama,Tunduma,Zambia, Dodoma na Mpwapwa,Tutakuwa tunamfahamu huyu...
habari wanajamvi...
nina A Level Certificate ya ndugu LUCAS J. MAKOMBE - KWIRO SECONDARY SCHOOL mwaka 2001...
naomba ndugu huyu au yeyote anayemfahamu amjuze ili ani PM niweze mpatia mzigo wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.