Je wewe ni mwajiriwa / mwajiri/mwanafunzi/mzazi/shule/chuo? UNATAKA AJIRA? Nununua DVD ikufundishe masomo yenye thamani sana tena kwa muda wako wakati ukiendelea na shughuli zako bila kwenda...
Jamani habari zenu, nahitaji gearbox ya Mitsubishi Chariot, Full time four wheel drive, mwenye nayo please contact me. mind you hii siyo grandis ni model kabla ya hiyo
Asanteni
Nyeupe ,zina onyesha umbali kutoka "object"
zina piga pia alarm
Zipo 4
manual ipo
michoro elekezi pia ipo
picha zimeambatanishwa
simu:0754964911
bei 120,000tzs (maelewano yapo)
Premio manual ya mwaka 2000 1587cc, imetembea 74582kms inauzwa bei ni Tshs 9.5ml. Ipo katika hali nzuri sana kiujumla na haina historia ya ajali. Inapatikana Arusha, kwa atakuwa tayari kununua...
Blackberry curve 8310 Unlocked inauzwa, just insert any gsm sim card and start using
ni used lakini ipo kwenye hali nzuri sana, like new one
Imewekwa opera mini kwa matumizi ya kubrowse tu...
Kipo eneo la Kwembe _ Mbezi/Kibamba panaitwa Kwembe Kati, Maduka sita - lipo kama 3km from Morogoro Road. Halijapimwa lipo nje ya eneo la mradi, umeme umepita kiwanjani. source: jamaa tu nlikutana...
Wanajanvi, kwa heshima nawasalimu wote.
Nimekuwa nikiandaa kitabu cha somo la economics kwa adanced level muda mrefu. Nimeanza kwa kutoa HANDBOOK of Economics Today ambapo mpaka sasa...
Wakuu,
Habari za leo? Kwa mtu ambaye anahitaji kiwanja Bunju B naomba tuwasiliane. Kiwanja ninachokiuza kiko Block 13 njia ya Kwenda Mabwe Pande. Umbali ni kilomita 2.5 toka barabara kuu iendayo...
Napenda kuwatangazia wakazi wa Yombo, Kilakala, Buza, Makangarawe, Uwazi, Relini, Davis Kona, Mcharingeni, Machimbo, na vitongoji vyake waliokuwa wanahangaika siku zote kwenda HUKO MJINI KATI...
Natafuta Nadia, isiwe ya Engine D4. Mwenye nayo,aweke picha hapa, na anipe bei yake ya mwisho. mimi ni dalali, niwe muwazi. au tuma ujumbe au kupiga simu 0763 894508.
Aina ya computer ni DELL(D630) na ina zigezo vifuatavyo;
HARD DISK 80GB
PROSCESSOR INTER(R) CORE(TM)2DUO CPU TZ7250@2.00GHZ
MEMORY(RAM) 1.00GB
DVD RW DRIVE,WIRELESS NA BLUETOOTH.
INA GARANTEE YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.