Mtaalamu wa kuchora ramani za nyumba/ majengo na picha mbalimbali kwa bei nzuri

lonesome

Senior Member
Oct 10, 2010
195
64
Kama unahitaji mtaalamu wa kukuchorea ramani ya nyumba na mambo mbalimbali anapatikana kwa namba hii 0768891102 au 0714160222 kwa bei nzur na uchoraj wa kiwango cha juu kabisa.
 
Weka references zako mkuu, zitakusaidia kuvuta wateja!! maneno matupu yataishia porojo tu humu ndani!! mifano miwili mitatu na makadirio ya gharama yangetupendezesha wengi.
Kila la kheri
 
Mkuu, hawa watu sio professional. They are just draftman and not Architect. Wanauza ramani za nyumba hata kwa buku! Wanacheza sana na weledi wa watu!

ndo maana naona hajarudi tena humu ndani,,, kakimbilia wapi??
 
Now this is battle: Architect-E.M vs Lonesome.



Mkuu hii ni zaidi ya tunavyofikiria. Wakati kuna mtu amekamua miaka mi5 chuo kikuu kufundishwa uchoraji wa ramani, kuna aliyekwenda veta kujifunza kuitafsiri ramani ili awe fundi mzuri, nae anajiita mtaalamu. Ni upuuzi kabisa maana wanachezea weledi wa watu!
 
Now this is battle: Architect-E.M vs Lonesome.

mkuu pj, its not a battle,,, we r just trying to be honest and kuwaepusha watu kudanganywa,, ndio maana nikaomba cv yake,,, if its perfect na inakidhi viwango, i have no objection at all,,.
 
Mkuu hii ni zaidi ya tunavyofikiria. Wakati kuna mtu amekamua miaka mi5 chuo kikuu kufundishwa uchoraji wa ramani, kuna aliyekwenda veta kujifunza kuitafsiri ramani ili awe fundi mzuri, nae anajiita mtaalamu. Ni upuuzi kabisa maana wanachezea weledi wa watu!

asante mkuu kwa kuendelea kuwaelimisha wananchi,,, u r one among the very best great thinkers, who value peoples proffesionals
 
we should also keep in mind the fact that any person can design a building or what so ever but not any person can put the design in technical aspects in form of architectural drawings and professionally that is an architect
 
Acheni majungu., waacheni hao madraft man wawasaidie watu, nyie mnaojiita maArchitect bei zenu zipo juu.
 
Acheni majungu., waacheni hao madraft man wawasaidie watu, nyie mnaojiita maArchitect bei zenu zipo juu.

kwanini umpe mtu unqualified kudesign nyumba utakayoinvest na kuitumia kwa life time, kisa just mayb difference ya laki 1 au mbili???,, just imagine unatumia pesa kiasi gani kujenga a residential house kwamfano, mayb 80, 90m i dont know, lakini kumpa architect laki 6 au 5 unaona uchungu, unampa draftsman laki 2 labda, alafu anakuchorea nyumba ya ajabu ajabu, hawezi hata kukushauri namna ya kukata cost katika design, y take that risk?? Na nyumba unaitumia maisha yako yote,?? Y not add 200,000 leo and live comfotably the rest of ur life???,, pliz value peoples proffesion,
 
Leonardo da Vinci alisoma shule ipi?

sawa, i agree with u, lakini bear in mind that his case was exeptional, he was proved to be a genious,, he was an architect, an engineer, a sculpurist, a fine artist, and soo many other proffesions,,, ndo maana kama uliona niliuliza, c.v ya jamaa,, angeweka hapa tuone kama na yeye ni genious, basi tumpe kazi zetu atuchoree
 
naona umeamua kunizunguka mkuu,..
Laymans wanasumbua kwakutoelewa...kibarua kipo..EM msanifu
 
Nipo serious nahitaji ramani ya nyumba ya ghorofa moja zile za manaibu waziri pale Kijitonyama Victoria nyuma ya usalama wa taifa.
 
Back
Top Bottom