Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Iwe maeneo ya Mbezi Beach. Iwe imekamilika. Bajeti 200mil.Iwe na Hati miliki. 0717114409
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wapendwa nimepoteza contact na jamaa yangu ambaye pia ni member humu JF anaitwa drphone kwa sasa mimi niko ughaibuni mwenye contact naye ani-PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nyumba hizi ziko mbili katika kiwanja kimoja. barabara ipo, ziko katika mtaa ulio pangwa vizuri,na serikali. hati ipo, maji na umeme vipo. mawasiliano: 0719646407
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natafuta Laptop screen 17" diagonal widescreen Trubrite LCD 1440 X 900 resolution (WXGA) New or used, yeyote mwenye information ani PM please
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Bajaj inatembea na iko katika hali nzuri,inapatikanika dsm for sale..alie serious tupia msg inbox
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu heshima zenu,nataka kufungua duka la ujenzi hivi karibuni,nilikua nataka hizo mbao tajwa hapo juu kwa jumla,kwa yeyote anayefanya hii business ani pm tufanye business!dalal hatakiw manake...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Ngoma iko poa xana,Fanya Kuidownload na Kuisikiliza kupitia radio station Pamoja na blog tofauti.Cheki pia kupitia blog ya dj Choka na Google.Nawapenda xana bandugu.Nicheki kwa fb Kwa username ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari Wadau! Jamani kwa anayefahamu ubora na mapungufu ya hilo gari anijuze Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF, naombeni msaaada wenu wa mkopo wa Tshs Mil 4, ambapo kila mwezi nitalipa riba na kurudisha mkopo baada ya miezi minne. malipo ya riba kila mwisho wa mwezi. nina shida sana na kiasi hicho...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja hiki kinaukubwa wa hatua 70 kwa 35: kipo ubungo msewe karibu na chuo kikuu cha dar es salaam. mawasiliano 0719646407
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama unahitaji gauni la harusi kukodi, ni-PM bei 100,000
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kama kuna mtu yoyote ambae anajuwa naweza kupata wapi cabini ya isuzu foward iliyo nzuri nahitaji naomba tuwasiliane no. 0712976729
0 Reactions
0 Replies
981 Views
NATAFUTA kIYOYOZI (AIR-CONDITION) USED KILICHO KATIKA HALI NZURI KIWE CHA AINA YOYOTE ILA IWE NA HOSE POWER MOJA MPAKA MOJA NA NUSU MAWASILIANO 0719 731315 /0786 544788
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, Nimeangalia hii gari kwenye mtandao ina Muonekano mzuri sana kwa Nje Na Ndani. Bei yake ni affaordable. less than 10m you can have the car kama wewe ni mjanja wa ku burgain kule Tradecar...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta gearbox ya gia sita yaFuso. Iwe ile kubwa inayofungwa kwenye engine ta turbo na tandam. Mwenye nayo please niPM.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
waku nauza samsung galaxy ace ipo poa sana.nimetumia wiki mbili tu.inakila kitu na boxi nakupa na memory 4 gb. bei 450000 piga namba hii 0719223225
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nyuma ipo Mikocheni "A" Karibu na Mikocheni hospital, ina vyumba vitatu, uwanja 164sqm. DALALI HATAKIWI piga 0767-637437 au 0754-368558
0 Reactions
11 Replies
2K Views
habari' nauza ipod original ya 160GB mpya na ina kila kitu chake. Bei ni 180000/= anayeitaka anicheki kwa 0753196849
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mambo vp wakubwa' natafuta modem ya vodafone nna 35000 Tshs. Anayeuza kwa bei hiyo anicheki 0753196849
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom