nyumba hizi ziko mbili katika kiwanja kimoja. barabara ipo, ziko katika mtaa ulio pangwa vizuri,na serikali. hati ipo, maji na umeme vipo. mawasiliano: 0719646407
Wakuu heshima zenu,nataka kufungua duka la ujenzi hivi karibuni,nilikua nataka hizo mbao tajwa hapo juu kwa jumla,kwa yeyote anayefanya hii business ani pm tufanye business!dalal hatakiw manake...
Ngoma iko poa xana,Fanya Kuidownload na Kuisikiliza kupitia radio station Pamoja na blog tofauti.Cheki pia kupitia blog ya dj Choka na Google.Nawapenda xana bandugu.Nicheki kwa fb Kwa username ya...
Wana JF, naombeni msaaada wenu wa mkopo wa Tshs Mil 4, ambapo kila mwezi nitalipa riba na kurudisha mkopo baada ya miezi minne. malipo ya riba kila mwisho wa mwezi. nina shida sana na kiasi hicho...
NATAFUTA kIYOYOZI (AIR-CONDITION) USED KILICHO KATIKA HALI NZURI KIWE CHA AINA YOYOTE ILA IWE NA HOSE POWER MOJA MPAKA MOJA NA NUSU
MAWASILIANO 0719 731315 /0786 544788
Wakuu,
Nimeangalia hii gari kwenye mtandao ina Muonekano mzuri sana kwa Nje Na Ndani.
Bei yake ni affaordable. less than 10m you can have the car kama wewe ni mjanja wa ku burgain kule Tradecar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.