Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninauza kiwanja hakijapimwa,Kipo Kibada mbele ya kigambo njia ya kuelekea Kisarawe Dar es salaam,Ukubwa robo Heka,Bei 3m maelewano yapo,Mauzo yatafanyika chini ya usimamizi wa Serikari ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kipo Buyuni karibu na Chanika,unapita Pugu Secondary. barabara ni za uhakika zilichongwa na wizara wakati wa upimaji...sasa hivi kuna mradi mkubwa wa nyumba za PSPF kwenye maeneo haya unendelea...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF Vipo viwanja sabini vyenye ukubwa wa sqm 700, 900, 1200 eneo liitwalo Kwembe. Ni 3km kamili kutoka morogoro road upande wa kushoto kama unatokea DSM. Viwanja vimegawanywa na mmiliki...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari njaema kwa watanzania,viwanja na mashamba vinauzwa maeneo ya zavara na kipawa mpya.vimepimwa na widhara ya arhi ,vina hati.kwa mawasiliano namba ni voda....
0 Reactions
10 Replies
2K Views
JF, Ipo katika hali nzuri.inafanya kazi vizuri, maintanance yake ni ya kawaida sana haisumbui sumbui. ni two stroke. bei ni 1,800,000. ukiwa serious tunaweza ongea zaidi. Mhitaji ani PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ipo katika hali nzuri.inafanya kazi vizuri, maintanance yake ni ya kawaida sana haisumbui sumbui. ni two stroke. bei ni 1,800,000. ukiwa serious tunaweza ongea zaidi. Mhitaji ani PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa 20/20. kipo karibu na shule ya mshingi na kituo cha polisi cha mapinga. bei ni milioni 5. kama upo tayari tuwasiliane kwa 0716 174949 ili nikupeleke ukakione.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu nataka kununua e7 used kwa bei poa.pm au piga 0688008822
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu, Nimerudi. Nipo serious kama kwenye tangazo langu la awali. Natafuta Kiwanja ukubwa iwe Square metre kuanzia 1200 to 1500. Maeneo yawe kuanzia Tabata yote, Kisukuru mpaka Segerea. Majumba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
IMEUZWAAAa, sold out....!!!!!!!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana JF, Nakuja kwenu naomba mnisaidie mwanaJF mwenzenu mkopo WA Mil 6, hata kwa riba ambapo nitaanza kulipa baada ya mwezi mmoja. Nina gari na kiwanja. Gari daladala naweza kuacha kadi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nyumba inapangishwa Kimara Temboni kwa Tshs. 250,000 kwa mwezi ; 2rms and one big master bedroom, sitting and a dining room, public wash room, kitchen, store. The house will be available by end...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nahitaji desktop, preferences: at least 1gb of RAM nichek kwny 0717543373
0 Reactions
1 Replies
952 Views
Ndugu zangu, Natafuta magari mawili USED na yawe Tanzania. Either in a show room or personal. 1. Toyota Harrier 2000 to 2002 make, 2200cc, 5 doors, radio, CD player, SRS airbag 2. Toyota Mark X...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habarini wanaJF,siku za nyuma (mwaka jana) kulikuwa na thread iliyohusu namba za kuweza kuzuia cm yako isipatikane endapo mtu anakupigia au kutuma meseji bila ya kuzima,simu inakuwa hewani kama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, natafuta gari ndogo aina ya Vitz iliyo ktk hali nzuri, nipo Dar. Budget Mil.6 Contacts: 0715-988888
0 Reactions
4 Replies
2K Views
natafuta micro sd card ya 16gb..naweza nikaipata kwa sh ngap na wap?me npo arusha!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wiki ilioyopita nliuza used bajaj yangu 2stroke(miguu 3) kwa 1.5ml sasa nauza na zilizobakia kwa bei chee tsh 1ml na 1.8ml zipo 2 na zinafanya kazi moja ya 2010 nyingine ya zamani kidogo tafuta...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba ushauri kuhusu Land Rover Discovery V8 ya 1997 sana sana kwenye matumizi ya mafuta na spea
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Nauza sukari kilombero 25kgs kwa shilingi 48,500/= kwa wanunuzi wa Dar tuu. usafiri kwako oder isipungue mifuko 100. piga simu 0683-501-203 wahi haraka kuna stock kidogo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom