Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

torres0909

Member
Joined
Feb 22, 2011
Posts
41
Reaction score
20
Nyumba inauzwa ipo Dodoma, maeneo ya Chinangali West, Block 11. Ina hati na Building permit, na ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 30x30.
 

Attachments

  • Photo0066.jpg
    Photo0066.jpg
    10.1 KB · Views: 129
Ok nimekuelewa mkuu, Me nadhani tutafutane katika 0767260885 kwa chochote utakachohitaji.
 
Ok nimekuelewa mkuu, Me nadhani tutafutane katika 0767260885 kwa chochote utakachohitaji.

Inaonekana watu mnapenda kutafutwa kweli.

Si uweke details zote mtu akikutafuta awe angalau ana uhakika kidogo kwamba uwezo anao na nyumba inamfaa?
 
Ok nimekuelewa mkuu, Me nadhani tutafutane katika 0767260885 kwa chochote utakachohitaji.

Nyumba yako sasa kinachokuogopesha keweka bei ni nini!??? Unauza kwa bei za kifisadi?? weka bei hapa ili watu wamwage uwazi wao kuhusu eneo hilo kwa wanaolijua. au unaona raha kupigiwa simu tu hata kama hakuna kitakachofanyika!!
 
Nyumba yako sasa kinachokuogopesha keweka bei ni nini!??? Unauza kwa bei za kifisadi?? weka bei hapa ili watu wamwage uwazi wao kuhusu eneo hilo kwa wanaolijua. au unaona raha kupigiwa simu tu hata kama hakuna kitakachofanyika!!

Nyumba inauzwa 30 Milioni tu.
 
Mimi nashangaa wafanya business wa bongo!mwaga kila kitu!pia ujue namba yako hatuihitaji ukiweka bei anayehitaji atakujibu hapa hapa mtaelewana!kwa nini ufiche fiche bei?au ipo juu sana unaona noma kuisema hadharani?
 
watu bana wananishangaza sana baadala ya kuweka maelezo ya kutosha ...anatoa namba ya sim.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom