Tractor linatakiwa

SIMBA mtoto

JF-Expert Member
Jul 13, 2011
204
100
Natafuta tractor la kulima shamba la ukubwa wa ekari 25, shamba lipo wilaya ya Kisarawe, kupitia njia ya Chanika.

Tafadhali kama unalo au unajua mtu mwenye biashara hiyo naomba mawasiliano nao.
 
Yupo mhusika wa hilo humu!! alikuwa anatafuta tenda we saka tu kwenye thread zilizopita
 
TZS50,000/= kwa ekari moja na inategemeana na umbali wa shamba lenyewe, kama upo tayari ni PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom