SIMBA mtoto
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 204
- 100
Natafuta tractor la kulima shamba la ukubwa wa ekari 25, shamba lipo wilaya ya Kisarawe, kupitia njia ya Chanika.
Tafadhali kama unalo au unajua mtu mwenye biashara hiyo naomba mawasiliano nao.
Tafadhali kama unalo au unajua mtu mwenye biashara hiyo naomba mawasiliano nao.