Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ndugu zangu naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia natafuta online furniture store in Dar es salaam. naomba kama una link nipatie, nimesearch google lakini sikupata website ambayo inatumika zote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau nina best yangu ambaye nataka nimsaidie gharama za kurekodi. Naomba anayejua gharama za studio kama Master Jay, Bongo records, Dhahabu records, lamaa, pancho na wengine wanaofanya kazi...
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Habari wa kuu nataka kuwaeleza wanaJF kuhusu huduma tunazozitoa. Business Cards Fliers Brochures wheelcovers Delivery note invoice book receipt book. na mengine mengi tunatengeneza...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jf nauza laptop Dell latitude 1.Touch screen 2. Rotating screen 3. Ram 2GB 4. Processor 2.4 Ghz core to duo. 5. Hard drive 150GB. 6. Three USB port one SATA. 7...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Mambo vp wadau, Natafuta Macbook ya kawaida sio Macbook Pro wala Macbook Air, just a normal Macbook kwa reasonable price. Fanya kuni-PM kama una hiyo kitu.
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Natafuta hizo mali.ziwe IDE.weka bei na mahali unapopatikana ili tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
889 Views
SOLD out!
0 Reactions
0 Replies
856 Views
visit View Tz - see employment opportunities, tenders- advertisement ,sport news and many more interesting features. join our forum and chat with friends.II
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nokia n900, imetumika two months only bado iko gud sana.....450,000/= any interest..pm me
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nakupa na gurantee, ni line moja and haina tatizo lolote ni tafute kwa 0713079282
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Nime2mia miezi 6 tu! Ina guarantee na ina vifaa vyake vyote, haisumbui wala haina tatizo lolote namba yangu ni 0713079282
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwa, kipo madale karibu na kawawa, ukubwa robo heka, bei 6.5 million kuna maelewano, hakijapimwa na kiko tambarare na sehemu inafikika, contact 0715 696920/ 0787585860 / 0786 670...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta betri ya hiyo machine hapo juu ningependa fahamu inapatikana wap na kwa kiasi gani mwenye ufahamu tafadhali anijuze
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mashine hii ni kali na ya kisasa. Ni nyembamba na Nyepesi features zake ni kama zifuatavyo Intel® Core™ i3 Processor Genuine Windows® 7 Professional 64-bit 4GB DDR3 memory 500GB hard drive DVD...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Price: TSH 10,500,000Kilometers: 98000Transmission: AutomaticDate Listed: 17/11/2011Email Address: Phone: +255 784 382 082Area: Dar Es Salaam Coloris beige/maroon. Registration T905BGV...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Registered,duty paid. White/5 doors/1,331 cc. Model EE111/engine 4E. No dent/ lady driven/in DSM only/ for further question please PM or call 0655.280264
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari zenu. Natafuta used photocopy machine yenye ukubwa na uwezo wa kufanya kazi, kwenye makazi ya wanachuo. Mwenye taarifa zozote na hii kitu tafadhali anipm tuwasiliane.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji nyumba ya kupanga, vyumba 3-4, iwe na Master BR, KITCHEN, PUBLIC TOILET, SITTING ROOM, DINNING AREA NA STORE, IWE NA GATE (Secured Compound) Maeneo: Sinza, Ubungo, Kijitonyama, Survey...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani wana jamii nawaomba mnielekeze duka linalouza cartridge refill kit kwa ajili ya printer nikiwa na maana ya wino wa printer,naomba nijulishwe duka liko mtaa gani na jina la duka.asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf naomba mnifahamishe wanunuzi wa ngozi za mbuzi na ng'ombe
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom