Ndugu zangu naomba kama kuna mtu anaweza nisaidia natafuta online furniture store in Dar es salaam. naomba kama una link nipatie, nimesearch google lakini sikupata website ambayo inatumika zote...
Wadau nina best yangu ambaye nataka nimsaidie gharama za kurekodi. Naomba anayejua gharama za studio kama Master Jay, Bongo records, Dhahabu records, lamaa, pancho na wengine wanaofanya kazi...
Habari wa kuu
nataka kuwaeleza wanaJF kuhusu huduma tunazozitoa.
Business Cards
Fliers
Brochures
wheelcovers
Delivery note
invoice book
receipt book.
na mengine mengi
tunatengeneza...
Wana jf nauza laptop Dell latitude
1.Touch screen
2. Rotating screen
3. Ram 2GB
4. Processor 2.4 Ghz core to duo.
5. Hard drive 150GB.
6. Three USB port one SATA.
7...
Mambo vp wadau,
Natafuta Macbook ya kawaida sio Macbook Pro wala Macbook Air, just a normal Macbook kwa reasonable price. Fanya kuni-PM kama una hiyo kitu.
visit View Tz - see employment opportunities, tenders- advertisement ,sport news and many more interesting features. join our forum and chat with friends.II
kiwanja kinauzwa, kipo madale karibu na kawawa, ukubwa robo heka, bei 6.5 million kuna maelewano, hakijapimwa na kiko tambarare na sehemu inafikika, contact 0715 696920/ 0787585860 / 0786 670...
Mashine hii ni kali na ya kisasa. Ni nyembamba na Nyepesi features zake ni kama zifuatavyo
Intel® Core i3 Processor
Genuine Windows® 7 Professional 64-bit
4GB DDR3 memory
500GB hard drive
DVD...
Registered,duty paid. White/5 doors/1,331 cc. Model EE111/engine 4E.
No dent/ lady driven/in DSM only/ for further question please PM or call 0655.280264
Habari zenu.
Natafuta used photocopy machine yenye ukubwa na uwezo wa kufanya kazi, kwenye makazi ya wanachuo. Mwenye taarifa zozote na hii kitu tafadhali anipm tuwasiliane.
Nahitaji nyumba ya kupanga, vyumba 3-4, iwe na Master BR, KITCHEN, PUBLIC TOILET, SITTING ROOM, DINNING AREA NA STORE, IWE NA GATE (Secured Compound)
Maeneo: Sinza, Ubungo, Kijitonyama, Survey...
Jamani wana jamii nawaomba mnielekeze duka linalouza cartridge refill kit kwa ajili ya printer nikiwa na maana ya wino wa printer,naomba nijulishwe duka liko mtaa gani na jina la duka.asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.