Siku hizi kusema kitu ni bei nafuu imekua fasheni.unahitaji milango yenye ubora kwa mbao za mkongo na mninga kwa bei nafuu sana?tuwasiliane tafadhali.
Siku hizi kusema kitu ni bei nafuu imekua fasheni.
Yaani hata hujui wenzio wanauzaje, we unakuja na bei zako na kuziita ni nafuu.
Anyway issue iko hivi, tunajua mitaani wanauzaje hiyo milango,
so we weka bei yako tulinganishe na mitaani ili kama rahisi tuongee biashara
FF umekuwa kila wakati ukitoa darasa jinsi ya mtu anavyotakiwa kufanya anapo tangaza kuuza vitu vyake lakini ni kama unampigia mbuzi gitaa,hizo ni biashara local sasa unategemea watu kama hawa wataweza kufanya biashara za kimataifa?kazi ipo,tutazidi kuwa wapiga porojo tu,kila kitu hatuwezi!!Ungetuwekea bei, tukiwasiliana tunajuwa hatupotezeani muda wa kupatana. Usiwe kama wafanya biashara wa kizamani, unaweka picha hapa, size za milango, bei zake. Mambo yanakuwa mazuuuri, hata anaekupigia unajuwa huyu hakupotezei muda.
FF umekuwa kila wakati ukitoa darasa jinsi ya mtu anavyotakiwa kufanya anapo tangaza kuuza vitu vyake lakini ni kama unampigia mbuzi gitaa,hizo ni biashara local sasa unategemea watu kama hawa wataweza kufanya biashara za kimataifa?kazi ipo,tutazidi kuwa wapiga porojo tu,kila kitu hatuwezi!!
Kwenye suala la ubora kwenye mbao ni ngumu kulinganisha (sana sana za hardwood).......