ni hardware unaongeza kwenye computer au? kama ni software iUpload hapa hiyo kila mtu apate kuInstal,,,, 😛oakama unataka gari kwa bei poa inawezekana utaangalia minada ya magari live kupitia kwenye kifaa maalumu nilichokujanacho kutoka Japan,utaweza ku-bid gari wewe nyewe kupitia computer iliofungiwa kifaa hicho imaalum njoo officen ujionee ujipatie gari kwa bei poa.