Ndugu wadau kuna Mashirt ya kiofisi na casual kutoka SAVILE ROW COLONDON, DEHAVILLAND NA VENTUNO 21 katika mtandao wa shilingishop.blogspot.com Jamani tuwaunge mkono na kuwapa support wajasiriamali wadogowadogo Mdau
Wekezi bei wazi ,mbona baadhi ya nguo zina bei halafu unasema tuandike email ili kujua bei kulikoni. hiyo mashine ya kumenya viazi nimeipenda l wekeni bei tujipime hasa hayo masharti ya kule kwa mzee wa suti za Offer!
[QUOTE hiyo mashine ya kumenya viazi nimeipenda l wekeni bei tujipime hasa hayo masharti ya kule kwa mzee wa suti za Offer! ][/QUOTE]
Kama unahitaji hiyo mashine ya kumenyea Viazi Tuwasiliane kupitia hii email Mkuu; shilingishop@gmail.com
ingependeza kama tungejua bei kabisa, tutawaunga mkono bila kujua bei wajameni?
Kuhusu Bei ya Mashirt, yanabei Tofauti, hayo ya Savile Row ni shilingi 100,000/= kwa kila moja. Ni original kabisa, mazuri na hayachuji kama yale ya wachina Wakuu!
aksanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.