emilwayne JF-Expert Member Nov 25, 2011 265 19 Nov 25, 2011 #1 Nime2mia miezi 6 tu! Ina guarantee na ina vifaa vyake vyote, haisumbui wala haina tatizo lolote namba yangu ni 0713079282
Nime2mia miezi 6 tu! Ina guarantee na ina vifaa vyake vyote, haisumbui wala haina tatizo lolote namba yangu ni 0713079282
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,850 155,799 Nov 25, 2011 #2 kwani ambayo haijatumika inauzwa sh.ngapi? Mi nataka uniuzie kwa bei ya simu mpya, si unajua sisi wasukuma hatutakagi ma vitu ya bei chee.
kwani ambayo haijatumika inauzwa sh.ngapi? Mi nataka uniuzie kwa bei ya simu mpya, si unajua sisi wasukuma hatutakagi ma vitu ya bei chee.
Achahasira JF-Expert Member Mar 9, 2011 1,213 214 Nov 25, 2011 #4 mkuu hapa iringa wanauza 130000 mpya,je dar itakuwa si laki mimi ni na 75,000
emilwayne JF-Expert Member Nov 25, 2011 265 19 Nov 25, 2011 Thread starter #5 mimi nakupa na guarantee, bei ya mwisho 100,000