Gharama za kurekodi nyimbo za bongoflava.

Gharama za kurekodi nyimbo za bongoflava.

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,145
Wadau nina best yangu ambaye nataka nimsaidie gharama za kurekodi. Naomba anayejua gharama za studio kama Master Jay, Bongo records, Dhahabu records, lamaa, pancho na wengine wanaofanya kazi nzuri.>naomba msaada wenu ili niweze kufanya anaysis.
 
$60 kwa saa moja

sasa mbona watu huwa wanalalamika kuwa ni gharama kurekodi?

$ 60 kwa saa moja na nyimbo moja si average ya dakika 5 hadi 10, so dakika 10 ni $ 10? Shilingi 17,500/= nyimbo iko hewani!! :shock:
 
Wadau nina best yangu ambaye nataka nimsaidie gharama za kurekodi. Naomba anayejua gharama za studio kama Master Jay, Bongo records, Dhahabu records, lamaa, pancho na wengine wanaofanya kazi nzuri.>naomba msaada wenu ili niweze kufanya anaysis.

mj rec ni 300000 na kwa lamaa pia ni bei hiyo hiyo bt bongo rec ni 350000! Huko kwa dully sijui ni ngapi
 
sasa mbona watu huwa wanalalamika kuwa ni gharama kurekodi?

$ 60 kwa saa moja na nyimbo moja si average ya dakika 5 hadi 10, so dakika 10 ni $ 10? Shilingi 17,500/= nyimbo iko hewani!! :shock:

Wewe unafikiri kurecord nyimbo ya dk3 inachukua dk3?...duh!
 
kuna mshkaji wangu mmoja mzungu toka norway ana studio yake pale kibaha anafanya kwa 100,000/ kwa nyimbo! Pia Mzuka records waweza pata bei poa!
 
kuna mshkaji wangu mmoja mzungu toka norway ana studio yake pale kibaha anafanya kwa 100,000/ kwa nyimbo! Pia Mzuka records waweza pata bei poa!

Kama ni Fundi Samwel ni prod mzuri,nimesikia kazi zake kadhaa kama sweet 16 ya nako 2 nako
 
Kama ni Fundi Samwel ni prod mzuri,nimesikia kazi zake kadhaa kama sweet 16 ya nako 2 nako

ebana mkubwa huyo fundi samweli anapatikana pande zipi... na anagonga kwa kiasi gani?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom