bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Nahitaji nyumba ya kupanga, vyumba 3-4, iwe na Master BR, KITCHEN, PUBLIC TOILET, SITTING ROOM, DINNING AREA NA STORE, IWE NA GATE (Secured Compound)
Maeneo: Sinza, Ubungo, Kijitonyama, Survey, Mikocheni, Kawe, Tangi Bovu, Makumbusho au Mwenge
Budget: 350,000/= - 500,000/= Kwa mwezi
Tafadhali julisha kama kuna nyumba maeneo yaliyotajwa.
Thanks
Maeneo: Sinza, Ubungo, Kijitonyama, Survey, Mikocheni, Kawe, Tangi Bovu, Makumbusho au Mwenge
Budget: 350,000/= - 500,000/= Kwa mwezi
Tafadhali julisha kama kuna nyumba maeneo yaliyotajwa.
Thanks