Kiwanja kizuri kabisa kinauzwa, kiko Njiro maeneo ya Kikokwaru. Huduma ya maji na umeme ipo karibu.
Ukubwa: mita 35 x 70
Bei: Mil. 45 Tsh.
Mwenye kuhitaji ani- PM.
Karibu sana!!
Kipo kandokando ya barabara ya kilwa road maeneo ya mivinjeni, kinatosh kuweka kituo cha mafuta au hata supermarket, piga 0654 812 991 kwa maelezo zaidi.:a s 465:
Gari ikiwa kwenye silence haitulii na inakuwa inatingishika na ni kero kwenye foleni. Nimekuwa na mafundi watatu bila suluhu na naona hawajajua kiini. Nimebadili plug, nimenunua radiator,feni...
Do your company need a website or place to host a website?......we are providing those services at reasonable price and all development cycle process will be followed to assure standard, six month...
Nyumba iliyokamilika/bado haijakamilika maeneo ya Tegeta/Bunju Mbezi beach/Afrikana au maeneo ya Mbezi mwisho . Sifa maji yawepo au kama hayapo basi yasiwe mbali, umeme uwe karibu na pia iwe...
sony playstation portable inauzwa.with 1gb memorycard, enable internet browsing wth lan connection,6cds including gta & case.ni mpya bt haina betri.location dom no.0762324935 bei 250,000.haishuki...
Wana Jf,Habari. Natafuta order ya flash disk kwa wafanyakazi wa maofisini/ binafsi , flash zangu ni iriginal, aina ya TRANSCEND, tunatoa warranty ya kuanzia miaka miwili na life warranty kwa...
Ipo maeneo ya Kijitonyama karibu na Chrisco Church, njia ya kwenda kwa Ally Maua,
Haijakamilika, imefikia kwenye linta, lengo lilikuwa ni kujenga ghorofa moja.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa...
wakuu nauza ipad 2.kwa bei ya 950000.ipo kwenye hali nzuri sana.nimetumia miezi miwili tu. anaetaka tuwasiliane kwa 0719223225. au uni pm
nimejaribu kuweka picha imekataa.
Wadau
PLOT ILIYOPIMWA NA IN CERTIFICATE
Plot iliyopo katika vitalu Vipya vilivyopimwa rasmi vya a serikali "planned plots buyuni ilala", ina title (certificate) na ni pahala pazuri sana kwa...
Salaam kwenu wakuu. Tunatafuta mawakala (whole/retail sale dealers) popote nchini tufanye biashara ya usambazaji wa taa ya ajabu. Safari hii tumejipanga vyema kuitangaza. Wenye interest tafadhali...
Habari wana JF.Ninauza kiwanja changu kilichopo Kimara Kilungule chenye saizi ya 18x14m.Nilikinunua miaka kama miwili iliyopita.Kipo sehemu ya juu na hakihitaji hata kusawazishwa ili ujenge.Sababu...
iPad 32GB (WiFi + 3G), firmware 5.0.1 application zaidi ya 70 kwa bei ndogo. ni nzuri kwa matumizi ya ofisini, emailing, gaming, social networking na vilevile ni unlocked inaingiza line mitandao...