:A S 465: Jaman kwa mtu atakayenipa dili la website nitengeneze atapata 10% baada ya malipo. Asilimia zinaweza ongezeka kutokana na dili lenyewe. Kama uko tayari nitumie email...
iko ktk hali nzuri sana ni screen touch inakaa na chaji siku nne, ina bluetooth, camera 3mgpxl n.k.
bei laki mbili. pia naweza kubadilishana na nokia n73. contact :0714-408238, 0759-401230.
Natafuta tractor la kulima shamba la ukubwa wa ekari 25, shamba lipo wilaya ya Kisarawe, kupitia njia ya Chanika.
Tafadhali kama unalo au unajua mtu mwenye biashara hiyo naomba mawasiliano nao.
Nyumba mbili zenye ukubwa wa sqm 627 zinauzwa zote kwa pamoja. Zipo Sinza 'E' karibu na Lion Hotel zina hati.Picha nitatuma,kwa mwenye uhitaji anaweza kuwasiliana na mwenye nyumba hizo kwa namba...
Ndugu wadau
kuna Mashirt ya kiofisi na casual kutoka SAVILE ROW COLONDON, DEHAVILLAND NA VENTUNO 21 katika mtandao wa shilingishop.blogspot.com
Jamani tuwaunge mkono na kuwapa support...
RAV4 GX mpya ya mwaka 2003 inauzwa. imetoka bandarini january hii na imeshakatiwa plate number ipo moshi.bei mil.27 pungufu unaongea.changamkieni pamba nyepesi hiyo!! Kwa anayeihitaji aniPM.
Please find attached house either for sale or for lease, it is having five bedrooms, four ensuite, one shairing toilet. Plot size is 370SQM. Located at Kinondoni mkwajuni behind Mango garden, 500...
a) Shamba eka 2.5 linauzwa, lipo Kibaha kwa Mathias. Kutoka barabara ya lami (Moro rd) ni km 2 kutoka OUT HQ(Open Univer
sity) ni km 1.
b) Kiwanja kiko eneo la biashara Kisasa-...
Wana Jamii:
Ninatafuta Cable Locks za laptops - hasa hasa Targus:
Ninaishi Dar es Salaam
Naomba msaada kama kuna anayeweza kunielekeza ni wapi naweza kuzipata? Au kama yeye ndiye muuzaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.