marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Habari wanajamvi,
Naomba kujua gharama ya dekoda, dish na installation kwa ujumla.
Asante
Naomba kujua gharama ya dekoda, dish na installation kwa ujumla.
Asante
Achana na hizo gharama za hao matapeli.
Wapo wataalam humu JF full maujanja na hiyo kitu unakula free mpaka yesu akirudi
unataka ya halali ama uchakachuaji ?
nenda multichoice kama upo dar..90K kama sikosei ila ufundi ni 60K na package inategemea na wewe..
Nashukuru bwana mkubwa,umenifanya nikajua hata maana ya k,mtu mwenye namba zao anipe,nitashukuru
Hapo nashukuru kaka,bei ya dekoda na ungo iko vp?