Gharama ya dstv full installation

Gharama ya dstv full installation

marandu2010

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2010
Posts
1,201
Reaction score
446
Habari wanajamvi,

Naomba kujua gharama ya dekoda, dish na installation kwa ujumla.

Asante
 
Achana na hizo gharama za hao matapeli.
Wapo wataalam humu JF full maujanja na hiyo kitu unakula free mpaka yesu akirudi

Hapo nashukuru kaka,bei ya dekoda na ungo iko vp?
 
unataka ya halali ama uchakachuaji ?
 
nenda multichoice kama upo dar..90K kama sikosei ila ufundi ni 60K na package inategemea na wewe..
 
hv hii compact plus ina super sport tvs ngapi?
 
Kwa wazoefu,je inawezakana kuangalia stesheni tatu tofauti kwa kutumia dekoda moja? Natanguliza shukurani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom