TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Nauza hii Camera ambayo itawafaa wenye kurecodi shughuli mbali mbali za kibiashara.Camera ni nzuri sana na inafanya kazi bila wasiwasi wowote na inatoa Quality picture na kwa wanayoijua watafahamu nasema nini.Niliwahi kuitangazia wiki mbili au tatu zilizopita wakati ilikuwa haijafika nchini na ikapata watu wengi na nikamchagua mmoja kumuekea lakini mpaka sasa hajafika kuinunua.Kwakuwa mimi nahitaji pesa kwa haraka hivo nairudisha mtandaoni na atakae kuja fasta na pesa ndio itakuwa mali yake.Camera hii model yake ni DM-XL1E unaweza kuangalia ktk google na kuona bei zake kwani hapa naiuza bei ya chini ili niuze kwa haraka.Bei yake ni 1.8 milion na haipungui.Naomba wasiliana na HABIBU 0717810318 au kama unaswali lolote unaweza kunitumia PM.
Camera inakuja na
-Profeciona Light
-Head Phone
-Microphone
Camera inakuja na
-Profeciona Light
-Head Phone
-Microphone