Nyumba chakavu zinauzwa

Nyumba chakavu zinauzwa

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Nyumba chakavu 4 zinauzwa zikiwa katika viwanja tofauti 3 zipo kinondoni shamba moja ipo keko. kati ya hizo tatu moja unaweza paki gari mpaka mlangoni na hizo mbili gari hazifiki. nyumba hizi ni nzuri kwa mtu anayetaka nyumba katikati ya mji. unaweza nunua na kuzibomoa kwa maelezo zaidi tuwasiliane
0686 200 117, 0755 099 291, na 0657145555 info@havilla.net. thomasnelson564@yahoo.com. contact person Thomas. havilla Real Estate Agent
 
weka na bei zake mkuu, ili tujue zinaenda ngapingapi?
 
More details mkuu, nimekupigia soon!!
 
Nyumba chakavu 4 zinauzwa zikiwa katika viwanja tofauti 3 zipo kinondoni shamba moja ipo keko. kati ya hizo tatu moja unaweza paki gari mpaka mlangoni na hizo mbili gari hazifiki. nyumba hizi ni nzuri kwa mtu anayetaka nyumba katikati ya mji. unaweza nunua na kuzibomoa kwa maelezo zaidi tuwasiliane
0686 200 117, 0755 099 291, na 0657145555 info@havilla.net. thomasnelson564@yahoo.com. contact person Thomas. havilla Real Estate Agent

Mkuu tuwekee bei ili tujicheki mfukoni kama zinatosha.
 
More details mkuu, nimekupigia soon!!
nakumbuka asante kwa cm yako. bei zake zimeanzia 37m iliyoko keko. na 70m mpaka 90m zilizoko kinondon shamba, pia kuna nyingine inauzwa 38 tuzidi kuwasiliana mkuu
 
pia kuna nyumba ipo kinondoni shamba gari nafika mpaka mlangoni bei yake ni 35m. zaidi tuwasiliane
 
pia kuna nyumba ipo kinondoni shamba gari nafika mpaka mlangoni bei yake ni 35m. zaidi tuwasiliane

kiwanja kina ukubwa gani?, maana huko kuna viwanja vya mpaka kumi kwa kumi
 
kiwanja kina ukubwa gani?, maana huko kuna viwanja vya mpaka kumi kwa kumi
hiki ni kikubwa kimejengwa chote inaweza kuwa 40 urefu upana 20 sio mtaalam wa vipimo lakini kinatosha kujenga nyumba moja kubwa na eneo likabaki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom