Nyumba inauzwa katikati ya Dar kwa bei cheee.

andy mchokozi

Member
Jan 25, 2012
42
5
Ipo Ilala,
iko barabarani kabisaa,
nyumba kubwa inavyumba 6 na vyumba vya uani 5..
Na eneo linabaki.
Bei milioni 500 bei inapungua,
mawasiliano..
0713133633
 
Weka picha ilala kubwa be specific,mtaa gani? Ilala ipi,boma? Sharif shamba? Mtaa upi wa kigoma,moshi au?
 
Ipo Ilala,
iko barabarani kabisaa,
nyumba kubwa inavyumba 6 na vyumba vya uani 5..
Na eneo linabaki.
Bei milioni 500 bei inapungua,
mawasiliano..
0713133633

Kama hii ndio bei chee basi tunapoenda ni kugumu na kwa mishahara yetu tutabakia tu kupanga
 
hyo ni bei chee kivip? Bei chee kwa mafisadi? Au bei chee kwa walalahoi? Au umekosea kuandika hzo tarakimu? Hivi wewe kwa kipato cha Mtanzania wa kawaida hyo inaweza kuwa bei chee kweli??
 
hili nijukwaa la siasa matangazo ya biashara yanahusika vip?kua naakili usitualibie heshima zetu nisawa na kulia wali choon badala ya sebulen achaga ujinga wa kutupotezea muda wambie nawajinga wenzio mwende kwenyematangazozo ya biashara usirudie mbafu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom