Habari wadau naomba mwenye kufahamu jinsi gani naweza pata 'USER MANUAL YA TOYOTA GAIA 2000" iliyoandikwa kwa Kingereza. Niliagiza mzigo japani na ukaja fresh sasa manual book iliyopo imeandikwa...
simu inauzwa ndugu wadau
Bado ipo katika hali nzuri
Bei ya kawaida kabisa 180,000 haina longolongo...Haina kushusha
U can google it for more clarificatio
Achana na ile ya keypad naongelea ile...
Ni nyumba kubwa ina vyumba 8. ipo barabarani kabisa gari inaingia mpaka ndani . uwanja ni mkubwa iko pembeni kabisa ya bara bara ya lami. pia nyumba nyingine inauzwa kinondoni shamba.
Tuwasiliane...
Kiwanja kipo Igoma - nyuma ya St. Mary Schools, ukubwa ni meta 30 x 40; hakujapimwa ila tayari kuna raia wengi wamejenga huko.
Mwenye kuhitaji anitumie Pm na kama kuna swali linakaribishwa.
Mambo vipi wadau? Mbwa wanauzwa pure Germany Shepherd tarehe 13, April,2012 wanatimiza miezi miwili. Amebaki jike mmoja. Bei ni Tshs 300,000/=.
kwa mmoja. Kwa mawasiliano: 0717 123 464, 0762 101 178
wakuu natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kigamboni iwe karibu na barabara iendayo mji mwema.sifa za nyumba iwe chumba kimoja cha kulala,sitting room,jiko,choo na iwe ndani ya fence.naomba...
Open Group mpya imefunguliwa facebook kwa jina la Ukombozi Tanzania. Unaruhusiwa kujoin pamoja na kuinvite watu mbalimbali kwenye group. Aim ni kuwa na kila mtanzania anayetumia mtandao wa...
karibuni mjipatie aina mbalimbali ya vitenge.vitenge original.vitenge vya wax,kanga nk.kwa mawasiliano zaidi tupo Tunduma mbeya tunapatikana kwenye soko jipya.tuwasiliane simu 0715005450.barua...
Ni nyumba yenye self/masterbedroom 2, vyumba vi2 single vinatumia choo cha ndani, dinning room moja, sitting moja kubwa car park, servant rooms na uzio mkubwa nyumba ina maji na umeme
Ipo Area D...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.