jamani nina tigo ideos unlocked n still in gud condition. iko na earphones zake, charger na extra cover ya blue. bei 150 mwenyewe kuhitaji tuwasiliane.
Kwa wanao hitaji ramani za nyumba tuwasiliane 0715321662, mimi ni mchoraji wa hizo ramani.. From Ardhi University
NB: kama hauna nia tafadhali usiwe msumbufu
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 30 kwa 50 kinauzwa haraka,kipo maeneo ya Majohe,bei ni 3.5mil.
Wasiliana na mmiliki kwa simu namba 0715334456,0767334467 au 0788334467
Ninatafuta sehemu ya kufanyia biashara maeneo ya Arusha kwa ajili ya kufanyia biashara ya kuuza vifaa vya electronics. Sehemu hiyo iwe mjini inayoelekwa na rahisi kufikika hata kwa kumuelekeza...
Ipo pembeni kabisa ya barabara ya lami . ina vyumba 8 eneo kubwa na gari inaingia mpaka ndani
Tuwasiliane Havilla Real Estate Agent 0657 14 55 55, 0755 099 291 , 0657 14 55 55
Ndugu zangu mlioko ughaibuni na bongo tafadhali naomba mnisaidie kupata simu hiyo ya HTC S620 (T-Mobile Dash). Tuwasiliane kwa Mail yangu ni mabaghee@yahoo.com
Hello!
For the latest and madest website designs, hosting and registration services contact MICROTELECOMMS TANZANIA.
Price ranges from TSH 700,000/= to above depending on the design and other...
Tunatoa huduma zifuatazo; TUITION, ENGLISH COURSE NA WANAORUDIA MITIHANI FORM IV (PC), KWA WAFANYAKAZI, WANAFUNZI N.K 01: English course - kuongea, kusoma na kuandika kwa muda mfupi...
natafuta nyumba ya kupanga, iwe Tabata Kinyerezi, iwe na vyumba viwili, sebule, jiko na choo. Parking ni ya muhimu. Mwenye nyumba awe tayar kupokea miezi sita na isizidi laki 2 kwa mwezi
Habari wadau wote...Natafuta shamba lenye mazingira mazuri nikimaanisha maji ya kutosha mahali popote tu, ili nifanikishe project yangu..Kama kuna mtu ambaye anaweza nisaidia kwa hili..Tafadhali...
Helooo
mambo vipizz?? kwa wale watakao hitaji cement jumla na reja reja inapatikana
Aina ya cement ni lucky cement, Cement ni ya uhakika na inatoka nje!! Nadhani kwa wanayo ifahamu washanielewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.