Viwanja vinauzwa vipo gezaulole kikamboni

Viwanja vinauzwa vipo gezaulole kikamboni

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Viwanja vinauzwa vimepimwa na kuwekwa mawe. vipo gezaulole km 11 kutoka feri .

SQM 825 BEI 22M, SQM 798,BEI 20M NA SQM 795 BEI 20 viwanja hv vinafuatana hivyo mtu mmoja anaweza nunua vyote na kupanta kiwanja kimoja cha SQM 2418 KWA T.SH62M. Ukifika gezaulole viwanja hv vipo umbali wa robo km ni mwendo usiozidi dk 5 kwa gari.

Pia kuna hv SQM 1109 BEI 21M NA SQM 1092 BEI 21 pia vinafuatana hv viko ubari wa km 3 kutoka barabarani.


Pia kuna SQM 820 zipo kibada bei 25m, na SQM 2678 kipo amani gomvu ni km 23 kutoka kigamboni bei 23m.

tuwasiliane : 0657 145555 au 0778 625 039 Akiri
 
Gezaulole? Sio vile vilivyotangazwa na manispaa ya temeke, raia tukajazana kuchukua fomu? Hebu tueleweshe vizuri hapa mkuu Akiri
 
Gezaulole? Sio vile vilivyotangazwa na manispaa ya temeke, raia tukajazana kuchukua fomu? Hebu tueleweshe vizuri hapa mkuu Akiri

Vile wametoa wale waliokuwa wamiliki wa mwanzo kabla ya upimaji,majina niliyaona mule ni Idd Azan,Abbas Mtemvu,Somebody Kikwete,aggrey mwanri na majina yanayofana na hayo mengi tu! Haya ya kina yakhe bado hayajatoa!
 
Watanzania wengi wamekuwa walanguzi kweli kweli. yani hivi viwanja vimenunuliwa kwa chini ya million nana (8) na watu wengi walikuwa wanaitaji sasa wakanyimwa hili viuzwe kwa bei ya magendo (enzi za mwalimu tulikuwa tunawahita wahujumu uchumi). Kijana hiyo sio sawa kabisa. nenda kajipange upya kabla ujaanza kufanya ulanguzi wa viwanja. Achilia mbali unaweza kununua ukawa mtu wa watatu na kuliwa pesa zako.

Viwanja vinauzwa vimepimwa na kuwekwa mawe. vipo gezaulole km 11 kutoka feri .

SQM 825 BEI 22M, SQM 798,BEI 20M NA SQM 795 BEI 20 viwanja hv vinafuatana hivyo mtu mmoja anaweza nunua vyote na kupanta kiwanja kimoja cha SQM 2418 KWA T.SH62M. Ukifika gezaulole viwanja hv vipo umbali wa robo km ni mwendo usiozidi dk 5 kwa gari.

Pia kuna hv SQM 1109 BEI 21M NA SQM 1092 BEI 21 pia vinafuatana hv viko ubari wa km 3 kutoka barabarani.


Pia kuna SQM 820 zipo kibada bei 25m, na SQM 2678 kipo amani gomvu ni km 23 kutoka kigamboni bei 23m.

tuwasiliane : 0657 145555 au 0778 625 039 Akiri
 
Inasikitisha sana, viwanja viuzwe kwa tsh mil 6 watu wanaacha usingizi kwenda kupanga folen wanaliwa tsh 20,000 za form halafu leo kiwanja kinauwa mil 22 Mungu wangu ! maana yake wanajiuzia wenyewe waje wajitajirishe , hivi Tanzania tutafika kweli?!
 
Ngoja niende kwenye squarter majohe hela zote hizo mimi nitapata wapi wakati mimi siko botp
 
Watanzania wengi wamekuwa walanguzi kweli kweli. yani hivi viwanja vimenunuliwa kwa chini ya million nana (8) na watu wengi walikuwa wanaitaji sasa wakanyimwa hili viuzwe kwa bei ya magendo (enzi za mwalimu tulikuwa tunawahita wahujumu uchumi). Kijana hiyo sio sawa kabisa. nenda kajipange upya kabla ujaanza kufanya ulanguzi wa viwanja. Achilia mbali unaweza kununua ukawa mtu wa watatu na kuliwa pesa zako.
ungesema tu kwamba mfuko wako umetoboka ungeeleweka kuliko kuongea mengi utadhani mwana siasa, ulanguzi umeuona kwenye aridhi peke yake? siku zote madebe matupu huya yanakelele sana.
 
Gezaulole? Sio vile vilivyotangazwa na manispaa ya temeke, raia tukajazana kuchukua fomu? Hebu tueleweshe vizuri hapa mkuu Akiri
hapana kiongozi vile tulivyotangaziwa vinaitwa ni vya mradi. hivi sio vya mradi undoa shaka mkuu
 
Ngoja niende kwenye squarter majohe hela zote hizo mimi nitapata wapi wakati mimi siko botp
mkuu ni kweli squarter ni nzuri tatizo zinakuwa hazina uhakika , kuna viwanja vizuri vya squater ukikipata kifanyie utaratibu wa kukisajiri wengi tumeshirikiana nao kufanya hivyo na wamejikuta wamepata kiwanja kwa bei nzuri sana
 
mkuu ni kweli squarter ni nzuri tatizo zinakuwa hazina uhakika , kuna viwanja vizuri vya squater ukikipata kifanyie utaratibu wa kukisajiri wengi tumeshirikiana nao kufanya hivyo na wamejikuta wamepata kiwanja kwa bei nzuri sana

Kusajiri kiwanja unafanya kwa sh ngapi? Full Title Deed
 
wacha niendelee kutaja jina a bwana wangu wakati wewe ukiendelea kutaja viwanja
 
Kusajiri kiwanja unafanya kwa sh ngapi? Full Title Deed
Mkuu hatuwezi kukiongea hapa hicho kitu . mimi binafsi sisajiri ili kutokana na kazi yangu ya kuuza viwanja na nyumba nimekuwa na conection na wa2 ambao wanafanya hizo kazi nipigie tuongee. samahani
 
Viwanja vinauzwa vimepimwa na kuwekwa mawe. vipo gezaulole km 11 kutoka feri .

SQM 825 BEI 22M, SQM 798,BEI 20M NA SQM 795 BEI 20 viwanja hv vinafuatana hivyo mtu mmoja anaweza nunua vyote na kupanta kiwanja kimoja cha SQM 2418 KWA T.SH62M. Ukifika gezaulole viwanja hv vipo umbali wa robo km ni mwendo usiozidi dk 5 kwa gari.

Pia kuna hv SQM 1109 BEI 21M NA SQM 1092 BEI 21 pia vinafuatana hv viko ubari wa km 3 kutoka barabarani.


Pia kuna SQM 820 zipo kibada bei 25m, na SQM 2678 kipo amani gomvu ni km 23 kutoka kigamboni bei 23m.

tuwasiliane : 0657 145555 au 0778 625 039 Akiri


Kaka ningependa sana kumiliki viwanja lakini mie ni Daktari na mshahara ambao nalipwa na serikali ya CCM haunitoshi hata kununua hicho kiwacha. Sera mbovu za ardhi ndo tatizo kuwaachia mafisadi kumiliki viwanja sisi wanyonge tunaumia
 
Viwanja vinauzwa vimepimwa na kuwekwa mawe. vipo gezaulole km 11 kutoka feri .

SQM 825 BEI 22M, SQM 798,BEI 20M NA SQM 795 BEI 20 viwanja hv vinafuatana hivyo mtu mmoja anaweza nunua vyote na kupanta kiwanja kimoja cha SQM 2418 KWA T.SH62M. Ukifika gezaulole viwanja hv vipo umbali wa robo km ni mwendo usiozidi dk 5 kwa gari.

Pia kuna hv SQM 1109 BEI 21M NA SQM 1092 BEI 21 pia vinafuatana hv viko ubari wa km 3 kutoka barabarani.


Pia kuna SQM 820 zipo kibada bei 25m, na SQM 2678 kipo amani gomvu ni km 23 kutoka kigamboni bei 23m.

tuwasiliane : 0657 145555 au 0778 625 039 Akiri
mmeiba vocha sasa mnadhulumu raia

mambaff
 
Tibaijuka kazi yake nn?

Sijui. Ninamkumbuka sana mama Salome Sijaona. Kwa nini walimpeleka ubalozini? Watumishi bora kama wale walitakiwa wapewe mkataba baada ya muda wa kustaafu hadi aseme "nimeshindwa". Yanayotokea ardhi ni machungu na kwa decentralisation ya kazi to Municipal ni hatari zaidi. I tell you hakuna corrupt offices kama Municipals specifically za DSM?!!! Mtu anatembea na mhuri wa office na ili akupigie mhuri ni lazima hongo!!! I will not forget you in year 2008 manispaa za Temeke na Ilala. Big up for Kinondoni, walinifanyia kazi bila hiana at that time, sijui kwa sasa.
 
Viwanja vinauzwa vimepimwa na kuwekwa mawe. vipo gezaulole km 11 kutoka feri .

SQM 825 BEI 22M, SQM 798,BEI 20M NA SQM 795 BEI 20 viwanja hv vinafuatana hivyo mtu mmoja anaweza nunua vyote na kupanta kiwanja kimoja cha SQM 2418 KWA T.SH62M. Ukifika gezaulole viwanja hv vipo umbali wa robo km ni mwendo usiozidi dk 5 kwa gari.

Pia kuna hv SQM 1109 BEI 21M NA SQM 1092 BEI 21 pia vinafuatana hv viko ubari wa km 3 kutoka barabarani.


Pia kuna SQM 820 zipo kibada bei 25m, na SQM 2678 kipo amani gomvu ni km 23 kutoka kigamboni bei 23m.

tuwasiliane : 0657 145555 au 0778 625 039 Akiri

Kwa bei hizo, mhhhh!! Ngoja mafisadi na watoto wao watakupigia cim. Sisi ambao nchi yetu ilishatutenga kimaslahi hatuwezi!!!!!!
 
Kwa bei hizo, mhhhh!! Ngoja mafisadi na watoto wao watakupigia cim. Sisi ambao nchi yetu ilishatutenga kimaslahi hatuwezi!!!!!!
Sio busara kwa mpiganaji kukata tamaa na kuona wengine wanaweza na wewe huwezi. kuna jambo linashangaza humu wengi wanalalama na kushambulia. mimi ni commission agent wala sio wenye viwanja na siongezi sh kumi sababu nalipwa commission yangu. lakini hebu fikiri kuna mtu kapata 10m na akaona asiweke benk aweka kwenye aridhi na leo anauza kwa nini mnamraum? hawa wote walonipa hivi viwanja walinunua 1996 na 1998 sasa kosa lao li wapi? tuache kujiona wanyoge na tupambane
 
Nasubiri Mch. MTIKILA akiwa rais kila raia apewe kiwanja bure akiuze au ajenge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom