Nyumba nzuri ya biashara inauzwa

Nyumba nzuri ya biashara inauzwa

mseseve

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
511
Reaction score
89
pic51.jpg
ipo tabata segerea chama bei 120mil ina frems 5 za biashara kwa mbele na ndani kuna wapangaji
kwa anayetaka ni free kuona na kukutana na mwenye nyumba.dalali hatakiwi
contact
0714812375
View attachment 59274
geti kuu kwa mbele panafaa kwa biashara yoyote ile kwa sababu iko karibu na barabara kuu ya tabata.
 
Ntakutafuta, je nyuma pana packing ya magari mangapi ?
 
Mimi Nataka Kununua fremu moja vipi inawezekana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom