habari zenu wakuu nauza simu yangu aina ya nokia c2 kwa bei ya tshs.110,000/=.maongezi yapo simu ni mpya kabisa imetumika wiki mbili tu naiuza coz nataka ku-upgrade simu hadi kwenye smart phone...
mysteryman 18:53 Today
wakuu ninahitaji mkopo wa milion
moja wenye riba nafuu.....nitarejesha
baada ya miezi minne na uwezo
wangu au riba isizidi laki tatu kwa
miezi yote minne.....nina...
Mambo vp wana jf?
Kiwanja kina ukubwa wa nyuma 15 mita kwa 23mita mbele, na pembeni ni 17 kwa 15 mita. HAKIJAPIMWA NA HAKINA HATI.
Kwa mawasiliano: 0762 101178 au 0717 123464
Wadau natafuta gari ya kukodi kwa ajili ya Sherehe ya Harusi weekend ijayo; gari aina ya Toyota~Harrier ikipatikana nyeusi iliyo katika hali nzuri itakua vyema zaidi, nazihitaji mbili kama...
Wadau, naombeni mnisaidie natafuta chumba(master) na sebule ya kupanga, bei isizidi 150,000/=. Maeneo ya Sinza au Mwenge na kuwe na maji. Kama unamiliki au unamjua mtu anayemiliki au mpangaji...
TANZAZO Nyumba innauzwa shilingi Milioni 38 iko Ukonga Kupunguni B Moshi Bar , ni selfu ya vyumba vitatu
Kwa mawasilano piga simu
0715 634825 au 0755 634825
INAFAA KWA MATUMIZI YA OFISI, DUKA LA CHAKULA, VIFAA VYA UJENZI, DUKA LA DAWA NK
BEI NI TSHS. 80,000/= KWA MWEZI NA MKATABA NI WA MIEZI SITA SITA
FREMU INATAZAMA BARA BARA YA CHANGOMBE
WASILIANA...
nahitaji kiwanja cha kununua kati ya sh, million 3 mpaka 5..kiwe maeneo yenye maji na umeme na maeneo ya kuishi.....pls wasiliana na mimi 0658-000-569 nahitaji kiwanja hicho mapema.
Ndugu wadau , tunauza viwanja vya size mbali mbali kama 20 x 20 = 5mil , 40 x 20 = 10m , vipo eneo la wazo hill , madale . ni eneo la makazi mapya na miundo mbinu kama barabara , maji , umeme...
Nyumba ina kiwanja kikubwa cha kuongezea nyumba nyingine hata 3 inauzwa tabata, pesa ina hitajika haraka, milioni 187, tuwasiliane 0714981009 tufanye biashara hati ipo ukisharidhia unaweza kwedna...
Nauza Toyota Passo G, 2004, 1300cc, Red shiny Metallic,
Registration... T 331 BZK, New Music System with Big big booster, gari ina siku 46 tangia itoke Nagoya, Japan....
Bei..... 12...
MOVIES MPYA NA SERIES, kama , NIKITA COMPLETE SEASON 2, NIKITA COMPLETE SEASON 2, TRUE BLOOD COPLETE SEASON 4,MOVIES...SAFE HOUSE YA DANZEL ya Danzel Washngton, SAFE, MISSION IMPOSSIBLE GHOST...
ideos phones for sell (limited time offer), for just Tsh 150,000.
All phones are new.
Cover color of your choice.
Inbox me for more info., and for your order.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.