Kiwanja kinauzwa,kipo Kigamboni(mwongozo)kina hati na kimepimwa.Hamna dalali,simu yangu ni 0753875055
Kama unafikiri namba ni dili sana basi usingeweka hata hayo maandishi ya sijui muongozo wala kigamboni,Kwa mtu ambaye yupo serious nimeweka no ya simu na email kuwa mstaarabu hata wa kukopa.Au unafikiri kila m2 mhuni mwenzio?
Kama unafikiri namba ni dili sana basi usingeweka hata hayo maandishi ya sijui muongozo wala kigamboni,Kwa mtu ambaye yupo serious nimeweka no ya simu na email kuwa mstaarabu hata wa kukopa.Au unafikiri kila m2 mhuni mwenzio?
weka details wewe, ukubwa wake etc