Kwa anae Hitaji Kiwanja Maeneo ya Kisongo(SPECIAL ECONIMIC ZONE)

Kwa anae Hitaji Kiwanja Maeneo ya Kisongo(SPECIAL ECONIMIC ZONE)

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,950
Reaction score
9,509
Wakuu mimi si Dalali, ila kuna Mashamba na Viwanja WAMASAI WANAUZA KWA KASI YA KUTISHA ENEO LA KISONGO NA WAO KUKIMBILA HANDENI MKOANI TANGA, so kwa anaye hitaji mimi naweza mpeleka kwa mwenye kuuza na si kwa dalali,
Hili eneo kumbuka limetengwa kuwa Special Economic Zone kwa kanda ya Kaskazini
 
Wakuu mimi si Dalali, ila kuna Mashamba na Viwanja WAMASAI WANAUZA KWA KASI YA KUTISHA ENEO LA KISONGO NA WAO KUKIMBILA HANDENI MKOANI TANGA, so kwa anaye hitaji mimi naweza mpeleka kwa mwenye kuuza na si kwa dalali,
Hili eneo kumbuka limetengwa kuwa Special Economic Zone kwa kanda ya Kaskazini

bei zinaendaje? tupe hint..
 
Kisongo iko Nje Kidogo ya JIJI LA ARUSHA NJIA YA KWENDA SINGIDA/SERENGETI/NGORONGORO wanauza heka kuazia Milioni sita hadi kumi na
 
Back
Top Bottom