Nyumba inauzwa kinondoni mkwajuni!

Nyumba inauzwa kinondoni mkwajuni!

Makbel

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
774
Reaction score
167
Nyumba inauzwa maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Jirani na kituo cha Daladala cha Mkwajuni.
Nyumba ina hati na ina eneo zuri kwa biashara mbali mbali.
Bei ni Milioni 60 pia maongezi yanakaribishwa.
Kwa mawasiliano zaidi piga namba hizi 0787577755 na 0717577755.
E:mail mac.triple7@gmail.com.
 

Attachments

  • 12092012278.jpg
    12092012278.jpg
    564.1 KB · Views: 115
Mkuu hiyo ni nyumba bhana. Ila ni sawa unavyosema ni kiwanja cause hiyo nyumba ni ya kawaida sana lakini kuna wakazi humo na siku zinaenda.
 
Hapo unauza kiwanja,pia isije ikawa kiwanja kipo kwenye ifadhi ya barabara,kwa endeo hilo aiwezekani mpaka leo kukawa na gofu lisinunuliwe wakati lipo barabarani! Wapemba wa yadi za magari awajapaona tu?
 
Kabla ya malipo lazima ujirizishe kwa yote kama ipo hifadhi ya barabara basi wizara ya Ardhi watakwambia.
 
milioni 60 , mbona kimara unapata nyumba ya maana ndugu yangu . dah
 
Ntakutafuta ngoja ninywe chai kwanza maana sina uhakika na nilichokiona kama ni nyumba au ni gofu!
 
Nyumba inauzwa maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Jirani na kituo cha Daladala cha Mkwajuni.
Nyumba ina hati na ina eneo zuri kwa biashara mbali mbali.
Bei ni Milioni 60 pia maongezi yanakaribishwa.
Kwa mawasiliano zaidi piga namba hizi 0787577755 na 0717577755.
E:mail mac.triple7@gmail.com.
hiyo hati ya kiwanja kama hiki sijui itakuwa inafananaje Mungu wangu!!!!!
 
Ahahahahahah! mkuu hiyo ni nyumba na si kiwanja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom