khabari wanajamii! kuna nyumba ya kisasa inapangishwa maeneo ya tegeta kibaoni, nyumba imekamilika yaani [gypsum, tiles na madirisha ya alminium] nyumba ina vyumba 3 master1 public toilet, jiko, store, sebule kubwa, garden, gate, parking, dining, maji na umeme vipo, kodi kwa mwezi ni Tshs400 000. kwa mhitaji piga 0714107215 au 0714104788