Land Rover iko katika hali nzuri kabisaaa na haijawahi pata ajali wa kufanyiwa engine haul, jino moja inawaka mpk indiketa angalia picha.
Hakuna mtu wa kati bei ni 13M tu kwa serious buyers please...
Hello Wana Jamii, hope this advert finds you well.
Nilikuwa nahitaji 3 power supplies for Dell Optiplex 380 for starters but later the complete order will require up to 15 pieces of the same CPU...
Hi There!
We register, design & upload websites within two working days.
Starting from simple to complex database driven websites, we do it urgently and in smart look
Prices: FREE domain...
Natafuta nyumba nzuri ya kupanga maeneo ya Kimara Temboni mpaka Mbezi isiwe mbali na barabara iwe na vyumba 3 vya kulala na Car Parking, umeme na maji, mtaa mzuri kwa malezi ya watoto na security...
Waungwana nahitaji nyumba ya kupanga Moro mitaa ya Kola,msamvu ama Mjini kati.arimradi iwe na uzio.Hata chumba na sebule sawa.Na kama kuna ambayo ni full furnished ni nzuri zaidi
Nauza Opa ni ya mwaka 2000 imesajiliwa mwaka jana mwezi wa tano, namba ni BZ.......haina matatizo kabisa KM reading ni 75,000 KM bei 9.5 Mil. Dalali anapendwa ila haitajiki kwenye hii biashara...
Natafuta apartment maeneo ya upanga,masaki na oysterbay au sehemu yoyote tulivu iwe kati kati ya mji please kama unafahamu unifahamishe nina shida ya haraka 0715/0755 200221.
ideos u8150-D used for three months but in perfect condition ...bei ni 110,000 ipo kwny box na unapta charger,memory card na xtra cover ....if u are interested plz pm me
thnx for reading
Habari wana jamii,
Nyumba inauzwa yenye sifa zifuatazo:
3 bed room including Master bedroom, sitting room,dining room,kitchen, public toilet,store etc. Also the site has enough space for car...
Wana JF kama kuna mtu mwenye viti viwili, used ,vya saloon (barbershop) kuna jamaa yangu anavihitaji. Viwe katika hali nzuri. Asanteh
Namba yake hii hapa: 0713 095 267
Nauza kiwanja changu.
Wapi? Kimara Mavurunza. Kilometa mbili kutoka Kimara mwisho.
Ukubwa? mita 28 kwa 26
Bei? milioni 15
Sifa zingine?
. Umeme upo
. Barabara ipo mpaka kiwanjani
. Ni sehemu...
S.3 is silver in colour, new in box @ 1M and bold 9900 black @ 700,000 its used. Picha angalia google ya s.3 ni mpya kwenye box na bold 9900 kama unaitaji uione ni pigie 0713079282 coz kueka pic...
TSH 6,000/-
0754 710870
0769 888605
0786 139316
0783 454523
gorretti54@gmail.com
Aloe Lips
Ni bidhaa ndogo lakini inatumika kwa huduma ya kwanza, ina aloe vera , jojoba oil na nta ya nyuki...
Wana JF, natafuta mbwa wa aina ya Bishon Frisé. Wakiwa pure hua ni weupe but I am looking even for a bastard (frist generation). Awe at least 2 month old na awe amepata chanjo zote za mwanzo...
Tunatengeneza na ku host websites (Tovuti) za aina yoyote
CMS, Blog, Static nk
Features ni
40GB disk space
Unlimited email accounts
FTP access
MySQL Database
PHP 5
multiple websites...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.