Firefox
Senior Member
- May 10, 2011
- 127
- 71
Eneo zuri lenye ukubwa wa heka 2 linauzwa maeneo ya Kimbiji Kigamboni (35 km from Kigamboni Ferry) karibu na Kidagaa Beach, eneo la Mikenge.
Ni shamba zuri ambalo lipo mita chache kutoka ufukwe wa Bahari ya Hindi (Beach Namba 3)
Eneo halijapimwa na halina tatizo lolote, taratibu zote za serikali za mitaa zitafuatwa.
Bei ni Shilingi Milioni 10 tu.
Kama upo interested ni PM au piga simu namba 0756 240 250
Ni shamba zuri ambalo lipo mita chache kutoka ufukwe wa Bahari ya Hindi (Beach Namba 3)
Eneo halijapimwa na halina tatizo lolote, taratibu zote za serikali za mitaa zitafuatwa.
Bei ni Shilingi Milioni 10 tu.
Kama upo interested ni PM au piga simu namba 0756 240 250