Asanteni, DEAL IS DONE! thnks JamiiForums
Specifications
1. Rangi yoyote .
2. Ndani iwe safi - iwe katika hali nzuri
3. Mileage si zaidi ya km 90,000
4. CC 660.
5. Isiwe na mikwaruzo bt Kama...
Baada ya wezi wa magari kuvamia DSM sasa kunakifaa kipya kabisa,kitakacho kufanya kufuatilia gari yako pindi mwizi atakapo likwapua,unachotakiwa kufanya ni wewe kuwa na line ya simu GSM na baada...
Jipatie Magauni ya Harusi na Send off kwa bei Naafu. Tupo Arusha Namvua Plaza gorofa ya pili au unaweza piga sm No 0682675026. Pia tunashona nguo za Aina zote za Kike.
Flat inapangishwa kwenye kota za Usalama wa Taifa barabara ya Ocean Road jirani na hospital ya Ocean Road.
Kuna Master Bedroom moja, chumba kimoja, Sitting room, choo cha Public pamoja na Jiko...
Salam wanajamii! Kuna kiwanja cha medium size sqm 790 kinauzwa maeneo ya ukuni bagamoyo mjini kiwanja kinafikika, kipo sehemu iliyojengeka vizuri na kwa mpangilio, hati ya kiwanja ipo. Huduma za...
Wadau habari za muda na poleni kwa majukumu,
Naulizia mwenye kujua zinapoweza kupatikana taa ya mbele ya kushoto ya Toyota starlet model ya carat ikiwa full pamoja na indicator yake.Tafadhali...
Ipo mtaa wa longido upanga , kiwanja kinaukubwa wa sqm 950, ineo limezungushiwa uzio na pembeni linazungukwa na gorofa ndefu , ni sehemu nzuri sana kwa ajili ya kujenga kitega uchumi. jengo...
Espitech Engineering Company are Exparts in Latest and Advanced Equipments Supply and Instollation of the following Services
CCTV surveyallance
Intruder Alarm System
Entrance/Exit
Fire...
Mambo vipi JF?
Puppies DOB 29/07/2012 wanauzwa, wameshachomwa DHLP , buster wanachomwa mwezi wa 10.
Bei kwa puppy mmoja ni Tshs 400,000/=. Wamebaki majike wa2 na dume mmoja.
Kwa mawasiliano...
Jiko na mixer ya bakery zinauzwa
Nauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.