nahitaji chumba chenye maji na umeme maeneo ya survey dar es salaam..kisiwe mbali sana na barabara.
kikiwa ni self contained ntashukuru zaidi
mawasiliano 0755815174
nyumba ya kisasa inauzwa iko bunju ni hutua chache kutoka barabara ya Bagamoyo Dar es salaam
ina vyumba3 na master1 kubwa, sebule nzuri, choo, bafu, store,jiko na fremu mbili mbele, ina uwanja...
Kwa wenye uzoefu na ununuzi wa flat screens na furnitures Dar naomba mnipe uzoefu wenu wa duka ambalo lina fare price but quality products nilizozitaja. Natanguliza shukrani.
Habari wana jamii
kwa wale anaohitaji hudma ya printing na Photocopying, Napenda kuwataarifu kua tunatoa huduma ya kuprint na copying za kawaida, tender document, michoro ya ramani na kadhalika...
habari zenu wadau!! natafuta bodi la toyota corola 4k au carina,liwe linasupport rear diff. Kwa yeyote alienalo au mwenye kujua wapi naweza kupata ani pm. Msiulize injini na gearbox jamani vyote...
MeTL CEO- Mo Dewji
The Appeal Court of Tanzania has nullified a High Court ruling made against Mohamed Enterprises (T) Limited (MeTL) in favour of an official acting as an agent of the Libyan...
Wamebaki wanne, madume wawili na majike wawili. Bei ni 500,000 kila mmoja. Wote wana chanjo na kadi.
Umri wao ni wiki 8
Kwa anayehitaji nipigie 0715112111
Wadau natafuta shamba/pori la kununua mkoani Morogoro hasa katika maeneo ya Mikese,Dumila,Kilosa,Mvomero au Dakawa,liwe linafaa kwa kilimo cha mpunga/liwe eneo linalowezekana kufanya kilimo cha...
WE HAVE IN STOCK 58,500 new B Twills Jute Bags;
Size: 44" x 26.5"
Weight: 2.25 lbs (1020gms)
Porter and Shots: 6x8
PRICE: 4500 /PC
Interested contact us at:
+255 713 544 454 - Joel
+255...
Eneo zuri kwa ajili ya uwekezaji linapatikana.
Eneo lipo Arusha- Wilaya ya Meru- Maji ya chai, mita 200 kutoka Moshi-Arusha road.
Linafaa kwa uwekezaji/Ujenzi wa Shule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.