Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta room self contained, umeme na maji visiwe vya shida karibu na posta na pia karibu na barabara Dar es salaam, asap Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
1K Views
zinahitajika gunia zile soft,kuna za katani na za pamba zinazohitajika nizapamba used,mwenye nazo anipm tufanye biashara!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1.Battery gel battery: 12V / 7A 2. Small voltage Sockets:Battery gel battery: 12 v / 7 Ah Small voltage Sockets: a. 3 volt b. 4.5 volt c.-6 Volt d. 9 volt e. 12 volt 3. Car Socket 12 volts / 10...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Wireless cctv monitor cameraNauza cctv Camera pamoja na screen ndogo kama sikosei ni 7 inch.Ni nzuri kwa matumizi ya biashara kama duka kwa ajili ya kuweka usalama kwa vibaka.Lakini hairikodi...
0 Reactions
0 Replies
892 Views
zinahitajika gunia zile soft,kuna za katani na za pamba zinazohitajika nizapamba used,mwenye nazo anipm tufanye biashara!
0 Reactions
0 Replies
787 Views
kwa wafanya biashara wadogo wadogo , wanao husika na vyakula mbali mbali ,na kwa matumizi ya nyumbani, tuna watangazia BITES au vitafunwa vipya jijini DAR ES SALAAM , asili yake ni nchi ya...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Nahitaji nokia c7 kwa mwenye nayo na anaiuza
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Land for sale in Mbeya City Land: 27 Acres* (with Title) Price: 300 Million Tanzanian Shillings 2.5 km from Tanzania Zambia Highway. Area: Ilomba Call 0756 888 330/0754 277084 for more...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote vinatumia umeme mkubwa (3...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nina laptop dell,apple mack book bei poa lak6.5 na black berry curve 1 na cv 2 bold bei ppoaa call me 0652740304
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama mpiganaji wa porini nipo nikiwaza nchi itapata lini wapiganaji wazuri na ambao ni wazalendo kama mheshimiwa Luhanga aliyefariki jana ambaye alimfanya hadi Marehemu Raisi wa Msumbiji Samora...
2 Reactions
44 Replies
13K Views
Tunavyo viwanja vingi vya makazi na biashara hapo gezaulole vyote vimepimwa SQM 1191 - 1440 ( Havilla real estate agent 0657 145555, 0754 278 278 Akili & Adili. gezaulole ipo kigamboni ni mwendo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wote tunafahamu stoo ni sehemu ya kuhifadhia vitu, lakini kwanini tuhifadhi vitu miezi na miezi ama miaka na miaka bila kuvitumia? Wakati stoo yako inazidi kujaa, huku nyuma kuna watu (makumi kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimeliona hili tangazo katika blog ya Mjengwa kwakweli imenisikitisha sana na hivo nimeona labda niwawekee na wengine wasiojua pengine itasaidia kumpatia msaada.Kwakweli inaonyesha yupo katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Brazillian inch 6 to 18 human hair 100%, sleek inch 8 to 12 indian hair, nature, golden perfect zote ni human hair na bei ni pooowa kabisa....tuko dar es salaam kkoo karibu na soko kuu la...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa yeyote anaeuza au anafahamu wapi ntapata kwa bei nzuri, help me out please!!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
waandishi wa habari ,wanasiasa,,na madereva,,wapelelezi,,ninapeni ambayo inauwezo wa kuchukua video,,picha za mnato na audio ,,ni hd,,,,,ina gb 4 mpaka 8,,,wahitaji wani pm
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani nasikia eti sasatel imefilisika? Natafuta battery ya simu waliyoniuzia nitaipata wapi? Naomba wana jamii forums mnisaidie kupata battery simu yangu haifanyi kazi hata kwa masaa matatu niki...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu.Ninahitaji External Disk ya GB 500 kwa bei poa zaidi (sio ya dukani). Naomba kama kuna mtu anaweza kuniuzia tuwasiliane kwa No: 0755869561 tujaribu kuBargain. Durability is much more...
0 Reactions
2 Replies
929 Views
Nahitaji a person ambaye anaeza ku edit photos, effects n everything vizuri na photoshop CS6 au any program...ni nayo photoshop lakini sijui kutumia vizuri....Ni pm au ni text on +255 756 412 337...
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Back
Top Bottom