engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Baada ya wezi wa magari kuvamia DSM sasa kunakifaa kipya kabisa,kitakacho kufanya kufuatilia gari yako pindi mwizi atakapo likwapua,unachotakiwa kufanya ni wewe kuwa na line ya simu GSM na baada ya mafundi kukiunganisha kifaa hicho ktk gari yako basi unaweza kukata mafuta pindi wezi wanapoliendesha gari lako na baada ya hapo unaweza kuelewa wapi gari lako lipo kwa kutumia GPRS,huna haja ya kuwa na simu za kisasa hata hizi za mkulima zinafaa sana,cha muhimu ni mawasiliano yawepo mahali gari lako lipo
kwa maelezo zaidi tuwasiliane(PM)
kwa maelezo zaidi tuwasiliane(PM)