nitapaje gari ya kukodi?

nitapaje gari ya kukodi?

josby

Member
Joined
Sep 8, 2012
Posts
85
Reaction score
1
salaam! nahitaji kukodi gari kwa siku moja tu, msaada kwa yeyote anayeweza kunijulisha upatikanaji wake na gharama.
 
Inategemea unataka kwenda wapi mkuu. I have 1, @40,000 for 16hrs ndani ya Dar es Salaam.
 
unataka gari aina gani ? unaenda nalo wapi ? je unataka kuendesha we mwenyewe au gari lije na dereva? magari yapo mengi sana .ukitaka kukodi au kununua 0657 145555
 
asanteni ndugu zangu, mimi natokea arusha nakuja dar kwa kdogo ndo nilikua nataka gari la kuwa nalo huko kdogo, kuna ndugu yangu amenisaidia ila bado shida ipo, je naweza nikapata gari la kutoka nalo usiku? yani nikakod kuanzia ile mida ya jioni ndo tuanze kuhesabiana mida hapo,na ingekua vzur kama ni automatic nataka kudrive mwenyew
 
Inategemea unataka kwenda wapi mkuu. I have 1, @40,000 for 16hrs ndani ya Dar es Salaam.

ndugu yangu nataka la kutoka nalo outings za night kdogo, sababu nakuja dar kurelax kidogo, inawezekana? hilo lako ni aina gani?
 
unataka gari aina gani ? unaenda nalo wapi ? je unataka kuendesha we mwenyewe au gari lije na dereva? magari yapo mengi sana .ukitaka kukodi au kununua 0657 145555

nataka gari ndogo tu yoyote iliyo katika hali nzur na automatic, nataka kutoka nayo usiku, sababu nakuja dar kurelax kdogo, na nataka kudrive mwenyew
 
asanteni ndugu zangu, mimi natokea arusha nakuja dar kwa kdogo ndo nilikua nataka gari la kuwa nalo huko kdogo, kuna ndugu yangu amenisaidia ila bado shida ipo, je naweza nikapata gari la kutoka nalo usiku? yani nikakod kuanzia ile mida ya jioni ndo tuanze kuhesabiana mida hapo,na ingekua vzur kama ni automatic nataka kudrive mwenyew

This means you are not qualified driver, no business with you unless nikupe na dereva.

TOYOTA Chaser long chasis 4 cylinders petrol. Manual
 
nataka gari ndogo tu yoyote iliyo katika hali nzur na automatic, nataka kutoka nayo usiku, sababu nakuja dar kurelax kdogo, na nataka kudrive mwenyew
gari zipo kaka ila sio rahisi ukapewa uendeshe we wenyewe hasa kwa hiyo mida magari tulio nayo sisi kwa wageni tunawapa wanakuwa na madereva wetu , wenyeji tunaowajua hatuna tatizo nao
 
gari zipo kaka ila sio rahisi ukapewa uendeshe we wenyewe hasa kwa hiyo mida magari tulio nayo sisi kwa wageni tunawapa wanakuwa na madereva wetu , wenyeji tunaowajua hatuna tatizo nao

sawa ndugu, kwasababu umeshanipa namba hamna shida nikifika nikikuhtaj tutawasiliana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom