Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni milioni 15 na bei inapungua
ina vyumba viwili vya kulala na sebule na sitting room
WASILIANA NA 0652 131653
Spora
Mkuu ukubwa wa kiwanja ukoje?, hiyo nyumba ni ya tofali au udongo,? kuna umeme na maji karibu?, iko kwenye ramani ya mipango miji? kuna barabara ya kufika hapo?, pana umbali gani kutoka kwenye barabara kuu?
mkuu ukubwa wa kiwanja ukoje?, hiyo nyumba ni ya tofali au udongo,? Kuna umeme na maji karibu?, iko kwenye ramani ya mipango miji? Kuna barabara ya kufika hapo?, pana umbali gani kutoka kwenye barabara kuu?
nyumba ni ya tofali za cement sio tope wala nini kaka ni shida tu imempata mtu anuza
shida imempata mpaka anauza nyumba?sehemu gani kinyerezi?
Mkuu samahani sana mimi ni mama so vipimo sivijui nitaomba mtu anipatie vipimo ili nikupatie Kutoka Barabarani ukiteremka kilima ni karibu sana na barabara kuu
Nitakupatia vipimo vya kiwanja na km za kutoka barabarani
Hapo mahali hapana shida hata mvua ikija haitaathirika maana pako juu penyewe.
Pia kuna kisima pembni ya nyumba hiyo ambayo kweli sijaezeeka yote nimeezeka chumba kimoja tu
HAYO NI MANJIBU KUTOKA KWA ALIYENITUMA MDOGO WANGU AITWAYE SPORA
MPIGIE KWA MAELEZO ZAIDI
Mkuu, kuwa mama siyo sababu nzuri ya kutokujua vipimo. Utakosa mengi mazuri kwa sababu ya kutanguliza u-mama wako. Ukujua vipimo, hautabadilika na kuwa baba. Kujua vipimo, hakufuati jinsia. Na wala siyo jambo la kiume hata kidogo. Ni ushauri tu, next time jitahidi mambo madogo madogo kama hayo yasikupite pembeni eti kwa sababu wewe ni mama.
safi nimeipenda hii nyumba