Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji playstation 2 mtumba(used) kwa anayeuza tuwasiliane 0717 403425
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Land is for sale situated at bugogwa near busweru,not surveyed,one acre,price tshs 3,300,000/-
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kama kichwa cha thread hapo juu,natafuta chumba ambacho ni selfcontained maeneo tajwa hapo juu...bei isizidi Tsh 65000 nipo tayari kulipa mwaka mzima.namba 0757235684
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ipo katika hali nzuri ila ina tatizo la camera haifanyi kazi,kwa yeyote aliye-interested apige 0712235965...ina 8gb,bei ni 250,000,ila inaweza kupungua..napatikana Arusha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Generator ndogo inauzwa DSM Aina: Apollo, AP3900 DXE, HP 5.5, Japan Technology. Hali yake: Jino moja tu inawaka. Ni kama mpya. Uwashaji: Inatumia Betri (Imekufa) na kamba ya kuvuta. Matumizi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama unalo just call me on 0713532322 nikukutanishe na mnunuzi
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Sifa zake, kiko tegeta,madale kwa mbopo. kimepimwa na kina docoment zote (yaani hati),ukubwa wake ni 70 kwa 45 mahali kilipo ni eneo lililojengwa tayari sio porini na gari inafika bila...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
200GB HDD, 1GB RAM. Intel(R) Celeron(R) CPU 2GHz. bei nzuri
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Welcome to Apprux Corporation
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Wakuu naitaji apple ipad used kwa mtu yoyote alionayo naomba anipm pls
0 Reactions
5 Replies
1K Views
specification angalau ziwe kama ifuatavyo.... ram....2gb na kuendelea processor....2.5 na kuendelea hdd....200 na kuendelea!! email yangu hii hapa...jonx.palx@gmail.com....bei iczidi 350000
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nna laki nne(400,000). iwe nzuri... naweza ongeza pesa kama iko poa... ni PM kama unayo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza nyumba, ipo tabata segerea-Dar es salaam karibu na nyumba mpya za maafisa magereza za segerea. Nyumba ni mpya kama inavyoonekana kwenye picha. Nyumba ina sifa zifuatazo: 3 bedroom...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Kuna chumba kimoja self contained maeneo ya surve,i dk kama 4 hivi toka mlimani city, pia kuna nyumba ya vyumba viwili sebule, jiko na toilet maeneo hayo ya savei. Kwa upande wa nyumba bei ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mahitaji yako ya kuprint T-shirts kwa matumizi ya mtu binafisi, kikundi, shule nk. usisite kuwasiliana nasi. Mawasiliano: 0712336030 au 0758105225.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je gari zenye cc 660 (mfano: Mitsubishi pajero mini, suzuki kei, suzuki carry, suzuki alto, suzuki jimny, daihatsu mira, daihatsu miragino) zinaweza tembea safari ya kilomita 500-1000 kwa siku...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Linaitajika Shamba morogoro road kwa ajiri ya mifugo maeneo ya kuanzia Mlandizi kuja mpaka Kibaha. Ukubwa ni kuanzia 5-10acres. Normal price please. Serious sellers only.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kiwanja kipo Mtoni kijichi block C . Plot no... hapa Dar es salaam kipo eneo zuri na salama unaweza jenga nyumba ya makazi au biashara. kinaukubwa wa (1.12) hectares au 2.8 heka ( heka 3 kasoro...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ile ahadi ya umojaswitch kutoa zawadi kwa wateja wake kwa miezi mitano mfululizo imeanza leo, Bwana Samson Peter Migana ameibuka mshindi kwa kufanya transactions nyingi kwa mwezi wa nane kuliko...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Back
Top Bottom