kama kichwa cha thread hapo juu,natafuta chumba ambacho ni selfcontained maeneo tajwa hapo juu...bei isizidi Tsh 65000 nipo tayari kulipa mwaka mzima.namba 0757235684
Ipo katika hali nzuri ila ina tatizo la camera haifanyi kazi,kwa yeyote aliye-interested apige 0712235965...ina 8gb,bei ni 250,000,ila inaweza kupungua..napatikana Arusha...
Generator ndogo inauzwa DSM
Aina: Apollo, AP3900 DXE, HP 5.5, Japan Technology.
Hali yake: Jino moja tu inawaka. Ni kama mpya.
Uwashaji: Inatumia Betri (Imekufa) na kamba ya kuvuta.
Matumizi...
Sifa zake, kiko tegeta,madale kwa mbopo. kimepimwa na kina docoment zote (yaani hati),ukubwa wake ni 70 kwa 45 mahali kilipo ni eneo lililojengwa tayari sio porini na gari inafika bila...
Wana JF mimi nimepata uwakala na kampuni moja ya kichina inayotengeneza Tablets, smart phone na laptops wameniambia nipate angalau watu 20 ambao watanunua products hizo mara tu ya kufika nchini...
specification angalau ziwe kama ifuatavyo....
ram....2gb na kuendelea
processor....2.5 na kuendelea
hdd....200 na kuendelea!!
email yangu hii hapa...jonx.palx@gmail.com....bei iczidi 350000
Nauza nyumba, ipo tabata segerea-Dar es salaam karibu na nyumba mpya za maafisa magereza za segerea. Nyumba ni mpya kama inavyoonekana kwenye picha.
Nyumba ina sifa zifuatazo:
3 bedroom...
Kuna chumba kimoja self contained maeneo ya surve,i dk kama 4 hivi toka mlimani city, pia kuna nyumba ya vyumba viwili sebule, jiko na toilet maeneo hayo ya savei. Kwa upande wa nyumba bei ni...
Kwa mahitaji yako ya kuprint T-shirts kwa matumizi ya mtu binafisi, kikundi, shule nk. usisite kuwasiliana nasi.
Mawasiliano: 0712336030 au 0758105225.
Linaitajika Shamba morogoro road kwa ajiri ya mifugo maeneo ya kuanzia Mlandizi kuja mpaka Kibaha.
Ukubwa ni kuanzia 5-10acres.
Normal price please.
Serious sellers only.
Kiwanja kipo Mtoni kijichi block C . Plot no... hapa Dar es salaam
kipo eneo zuri na salama unaweza jenga nyumba ya makazi au biashara.
kinaukubwa wa (1.12) hectares au 2.8 heka ( heka 3 kasoro...
Ile ahadi ya umojaswitch kutoa zawadi kwa wateja wake kwa miezi mitano mfululizo imeanza leo, Bwana Samson Peter Migana ameibuka mshindi kwa kufanya transactions nyingi kwa mwezi wa nane kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.