Wajamaa,
Hii carry- truck hapa inauzwa. Inatoka bandarini wiki hii, wahi uipate. Bei ni TShs 7,600,000 tu!!!
Imelipiwa kila kitu mpaka sticker ya fire, unaweka tu number plates na bima...
Greetings!
Wakuu kwa wanao hitaji ramani za nyumba (Residential Houses) pamoja na cost- estimates zake tuwasiliane, pia Sisi kama BUILK BUILD tunakujengea nyumba yako at a high quality needed...
ndugu wanajamii kuna eneo la machimbo ya kokoto heka 55 linauzwa, eneo lipo msata bagamoyo limepimwa lina title deeds kati ya heka 55 heka 2 tu ndo zimechimbwa bei yake ni ml 350 kwa maelezo zaidi...
habari wanajamii! kuna eneo linauzwa lipo barabarani maeneo ya zinga. eneo lina ukubwa wa heka 2 linalofaa kwa makazi, kilimo au mifugo, huduma za maji na umeme zipo bei yake ni ml.16 tu kwa...
salam, wanajamii! kuna eneo la heka 6 zinga bagamoyo linauzwa lipo umbali wa mita 800 kutoka barabara ya bagamoyo road eneo halina mgogoro huduma za jamii za maji, barabara na umeme zimefika eneo...
Kabari wanajamii! kuna surveyed plot ambayo ni medium size inauzwa bagamoyo mjini maeneo ya ukuni plot ina ukubwa wa sqm 760 huduma za jamiiza maji na umeme zinapatikana, bei yake ni ml 7.5 if you...
Greetings!
Wakuu kwa wanao hitaji ramani za nyumba (Residential Houses) pamoja na cost- estimates zake tuwasiliane, pia Sisi kama BUILK BUILD tunakujengea nyumba yako at a high quality needed...
Jiko na mixer ya bakery zinauzwaNauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote...
http://www.investinafrica.com
Hii ni website ambayo ina dili na investing in Africa wadau wa Investing naomba mtusaidie ufafanuzi hawa jamaa wanapataje pesa na je kuna uwezekano wa mtu kuanzisha...
Haijakamilika kama inavyoonekana katika picha. Inavyumba vitatu vya kulala. sebure jiko na dinning. Ina umeme na mita ya luku tayari. Bei 85mil. Ikiwa unahitaji kuiona piga simu 0717114409 kuweka...
Ipo karibu na Canossa Primary and secondary school. Ina vyumba vinne vya kulala viwili vikiwa self contained. Ina jiko, dinning na sitting room. Ina uzio. Ni nyumba nzuri ya kisasa inafaa kuishi...
Nimeanzisha bakery yangu na niko kwenye process ya kuiboresha. Mojawapo ya kitu ninachotaka kukifanya ni kushapisha mifuko ya mikate. Wapi naweza kuchapia mifuko ya mikate kwa bei nafuu?
Toyota Nadia 2002 model (ex-Japan) is for sale. The car is registered,duty paid and comprehensively insured. The car has been well kept and mechanically maintained. It is in Dar Es Salaam. Here...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.