brasy coco
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 1,489
- 896
wakuu naomba msaada wenu usio wa kitapeli maana nitawafunga haraka sana......nahitaji nyumba nzuri ya kisasa iwe na 4 bedrooms........masterbedroom isikose kati ya ivyo nyumba......iwe na fensi nzuri....maji muhimu...umeme.....ndani iwe nzuri vyumba vikubwa....iwe mitaa ya masaki, makumbusho,kijitonyama.....mikocheni....upanga.......msasani beach.......ostabei...........kinondon ya uzunguni........kwa yeyote mwenye kuweza anisaidie hapa wakuu kunipa Information