habari wana JF
Ninaitaji playstation 2 used au kama ni mbovu iwe inawaka tu. Kama unayo au kuna mtu unaemfahamu anayo unaweza kunijulisha kupitia 0716-369299 au 0777-865617 (whats up)
Nyumba yangu inataza barabarani na inafaa kwa kuweka ATM. NAKARIBISHA MAOMBI KWA MA BANK MBALI MBALI
WANAWEZA KUNITUMIA MAOMBI KWA EMAIL YANGU: Mbwambo53@gmail.com
KARIBUNI
WD My Passport - 500GB
Specifications
Interface: USB 3.0 and USB 2.0
Transfer Rate: Serial Bus Transfer Rate (USB 3.0) 5Gb/s Max
Capacity: 500GB
Price - Tshs.140,000/-
WD My Passport...
Kiwanja chenye ukubwa wa ekari moja kinauzwa kipo Kibaha kwa Mathias eneo linaitwa Jamaika. Bwei maelewano. Kipo barabarani, kuna bomba la maji linapita na umeme upo palepale. Kuna michungwa...
Sifa.
1. Iko hatua chache toka barabara kuu shekilango road(200metre)
2. Kubwa na ina mabanda ya uani
3.inafaa kwa biashara yoyote
4.ina eneo la uani la kutosha
bei 140mil pia kuna maelewano...
Hi wana jamvi
ninakodisha suzuki carry za mizigo myepesi (cc 650) kwa dar es salaam - kutwa shilingi elfu hamsini mafuta kwako dereva ni mimi mwenyewe ukishalipa pesa ya kutwa basi. Inatumia...
Tunajenga Majengo ya aina yote,including Home House,pia tunafanya mambo ya ICT na security systems.
contact Email: international.franswill@gmail.com au tembelea tovuti...
Any one selling this phone with all accessories please contact me kwa PM with your phone number and price and I will get back to you as soon as possible. Or here is my number 0753196849, before...
Nauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote vinatumia umeme mkubwa (3...
Specification
1.Iwe na 4GB Ram
2.Iwe na 500GB Harddisk
3.Isiwe mini laptop
4.Iwe katika hali nzuri
5.Iwe nA bluetooth,wi-fi,webcAm
Bei iwe 500,000/=
MawAsiliAno. 0785308076 au 0712338291
Eneo hilo lipo katika mtaa wa kulangwa kata ya goba imepakana na madale lina ukubwa wa ekari (3)tatu.lipo karibu na barabara ya magari ya wazo hill to madale
eneo linauzwa lote kwa ujumla hakati...
wakuu nauza laptop yangu ya HP ambayo ni pavilion g6 na ipo hivi
AMD Duo Core Processor 2.3 Ghz
3GB RAM
320GB HDD
ATI 4250 512MB Video Card
hii computer inafaa zaidi mchezea photoshop au...
Nyumba inapangishwa tabata kimanga karibu kabisa na kanisa la KKKT Kimanga.
Ina vyumba viwili vya kulala, sebure, jiko, choo na bafu. Iko ndani ya uzio wa ukuta. kwa wafugaji kuna kibanda cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.