Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau mwenye kujua bei za turntables zinarange vp anijuze Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tangazo hili nimelirudia baada ya kuweka picha kama nilivyoombwa na wadau. Ni pikipiki ambayo ipo katika hali nzuri kabisa inafaa kwa matumizi binafsi na si biashara. Bei yake ni 1.1M (mazungumzo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ndugu zanguni, Wiki iliyopita niliweka tangazo hapa kwa watanzania wenzangu wote wanaoishi hapa UK kuwa kampuni yetu ya SERENGETI FREIGHT imekusudia kuanzisha mfuko maalumu wa kuwasaidia watu...
0 Reactions
1 Replies
978 Views
SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD Make Scania Model 113 HP 320 Year 1993 Km 335.000 CIF DAR TZS MIL 42
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji gari la kukodi self drive, maliponi ni kwa mwezi, bei isiyozidi TZS 450,000 inategemea na gari lenyewe. Gari litatunzwa na halifanyishwa suluba
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ps3 in good condition price 600,000. its 320 GB and a free cd. psp also in a good condition 300,000 . its jail broken so utakua na acess to games za kuinstall.
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Pikipiki aina ya SAN MOTO XL, yenye engine ya cc150 ipo sokoni, ipo katika hali nzuri sana. Pikpiki hii inafaa kwa matumizi binafsi na si kwa ajili ya biashara hasa kwa kuendea kazini au starehe...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Guys, rafiki yangu anahitaji simu ya iPhone 4 na mwingine huawei 8650 kama zile wanazo uza tigo. Kama kuna mtu anauza, tunaomba ataje bei na hali ya simu aliyo nayo. Mimi sio dalali wake, nitampa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza ipad 2 ya 64GB na ni mpya. Bei ni TZS 700,000/= Tuwasiliane kwa 0714 585867 Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Jamani watu wa ujasiriamali, tunapenda kuwatangazia wale wote wanaopenda biashara ya ufugaji wa kuku na wanyama wa aina ya ndege wote. Sisi tunatengeneza mashine za kuangulia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
used.....orignal na zipo in good condition,zimeshawekwa program kama skype,watsup,utube n.k bei 200000.. Anaetaka anipm...
0 Reactions
1 Replies
876 Views
INATANGAZA NAFASI ZA KAZI CASHIER NA SALES KWA UPANDE WA VODACOM M-PESA SIFA ZA MWOMBAJI: 1. AWE NA ELIMU YA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA 2. AWE NA UZOEFU UPANDE WA MAHESABU NA AWE AMEWAHI...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa wajasiriamali wanaodhamiria kujikwamua na lindi la umasikini. Mashine za kutotolea vifaranga zinapatikana hapa kwetu. SIFA: 1. Zina ukubwa tofauti, toka mayai 200 hadi 2000...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Nokia X201 inauzwa bei poa Tsh. 140,000/= Simu ina camera 0.3 megapixels, EDGE class 32, Bluetooth, QWERTY keyboard. Wasiliana nami +255716300091
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bei ianzie 150,000 to 300,000.. Mwenye nayo atanambia na sifa(Ram,hardsk,speed, etc) zake. Lakini iwe ina DVD rom.
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Nokia X201 for sale full specification follow link http://www.gsmarena.com/nokia_x2_01-3610.php Price Tshs 140,000/= negotiable! Call 255716300091/ 255753686485. Nipo Dar es Salaam.
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Wakuu, nahitaji bidhaa hizo hapo juu, ziwe leather, nahitaji nyeupe na nyeusi. PM bei na mahali duka lako lilipo. Thanx
0 Reactions
1 Replies
857 Views
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES UNLOCKING ANY GSM PHONES IPHONES NOKIA SAMSUNG ALCATEL BLACKBERRY UNLOCKING ANY GSM MODEM ZTE HUAWEI VODAFONE...
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Nokia 5130c-2 ina function vizuri bado ina muonekano mpya ime2mika miezi 2. Ina charger yake. Bei elfu 60. Nauzia shida ya kuongezea ada yangu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kusambaza mzigo wa mbao nina wakulima wa mbao ninaofanya nao biashara sasa nahitaji kutanua masoko yangu upande wa usambazaji kwa tenda kubwa. Bidhaa za mbao za dawa mirunda na mabanzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom