Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ya mwaka 1997, millage 90s. number CCG . milango 5 . ipo DSM bei 12.8m tuwasiline uichukue 0657 145555 au 0755 099 291
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa maelezo zaidi wasiliana na muhusika anaitwa spora no. Yake ya simu ni 0652 131653 bei yake ni tshs. Million 15
0 Reactions
16 Replies
2K Views
habari wana JF Ninaitaji playstation 2 used au kama ni mbovu iwe inawaka tu. Kama unayo au kuna mtu unaemfahamu anayo unaweza kunijulisha kupitia 0716-369299 au 0777-865617 (whats up)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba yangu inataza barabarani na inafaa kwa kuweka ATM. NAKARIBISHA MAOMBI KWA MA BANK MBALI MBALI WANAWEZA KUNITUMIA MAOMBI KWA EMAIL YANGU: Mbwambo53@gmail.com KARIBUNI
0 Reactions
16 Replies
1K Views
The House, (recently refurbished) consists of; -A masterbed-room, 2 double-bed rooms with shared bathroom -Kitchen with cabinets, storage room -Living room, dining room -7000 liters water storage...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji core i5 desktop, core i3 au i7 pia nitaangalia. Brand na specs zake sio muhuimu, processor tu. anybody?
0 Reactions
0 Replies
595 Views
WD My Passport - 500GB Specifications Interface: USB 3.0 and USB 2.0 Transfer Rate: Serial Bus Transfer Rate (USB 3.0) 5Gb/s Max Capacity: 500GB Price - Tshs.140,000/- WD My Passport...
7 Reactions
22 Replies
3K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa ekari moja kinauzwa kipo Kibaha kwa Mathias eneo linaitwa Jamaika. Bwei maelewano. Kipo barabarani, kuna bomba la maji linapita na umeme upo palepale. Kuna michungwa...
0 Reactions
3 Replies
992 Views
Sifa. 1. Iko hatua chache toka barabara kuu shekilango road(200metre) 2. Kubwa na ina mabanda ya uani 3.inafaa kwa biashara yoyote 4.ina eneo la uani la kutosha bei 140mil pia kuna maelewano...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
5doors good condition
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi wana jamvi ninakodisha suzuki carry za mizigo myepesi (cc 650) kwa dar es salaam - kutwa shilingi elfu hamsini mafuta kwako dereva ni mimi mwenyewe ukishalipa pesa ya kutwa basi. Inatumia...
0 Reactions
0 Replies
918 Views
Tunajenga Majengo ya aina yote,including Home House,pia tunafanya mambo ya ICT na security systems. contact Email: international.franswill@gmail.com au tembelea tovuti...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Any one selling this phone with all accessories please contact me kwa PM with your phone number and price and I will get back to you as soon as possible. Or here is my number 0753196849, before...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote vinatumia umeme mkubwa (3...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Nauza Acer Laptop Make:Acer Model:Aspire 5552-7819 Colour:Black Processor:AMD Phenom II X2 N660 Screen:15.6” HD LED LCD Graphics Chip:ATI Mobility Radeon HD 4250 RAM:4GB DDR3 Memory 320GB HDD...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari.. Kwa anaehitaj dell latitude620. Harddsk 80GB, ram 1GB, dualcore.. Ime2mika 2mnths, Bei 350000. Anaehtaj anpm npo ruvuma.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Specification 1.Iwe na 4GB Ram 2.Iwe na 500GB Harddisk 3.Isiwe mini laptop 4.Iwe katika hali nzuri 5.Iwe nA bluetooth,wi-fi,webcAm Bei iwe 500,000/= MawAsiliAno. 0785308076 au 0712338291
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Eneo hilo lipo katika mtaa wa kulangwa kata ya goba imepakana na madale lina ukubwa wa ekari (3)tatu.lipo karibu na barabara ya magari ya wazo hill to madale eneo linauzwa lote kwa ujumla hakati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu nauza laptop yangu ya HP ambayo ni pavilion g6 na ipo hivi AMD Duo Core Processor 2.3 Ghz 3GB RAM 320GB HDD ATI 4250 512MB Video Card hii computer inafaa zaidi mchezea photoshop au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa tabata kimanga karibu kabisa na kanisa la KKKT Kimanga. Ina vyumba viwili vya kulala, sebure, jiko, choo na bafu. Iko ndani ya uzio wa ukuta. kwa wafugaji kuna kibanda cha...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom