Nauza nyumba bei ya kutupa

Nauza nyumba bei ya kutupa

Derimto

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
1,307
Reaction score
325
wajameni nibanwa kuna nyumba nimeshindwa kuimalizia ujenzi wake iko kwenye lenta iko Arusha maeneo karibu na fire mtaa wa jaluo ccm jirani kabisa na kwa malai freight.

Ina vyumba vitatu na sebule jiko na choo na bafu hakuna matatizo ya barabara

bei yake ni 20 ml. mazungumzo yapo kwa anyehitaji kweli Ni pm. nikupe namba.
 
Hiyo bei si mbaya, tatizo Nyumba ipo karibu na CCM
 
Mkuu toa info za kutosha,mfano kiwanja kimepimwa,ngapi kwa ngapi?weka picha ikiwezekana pia!
 
iko karibu na ccm...dah itakua ngumu ku get a buyer:becky:
 
Sio ya urithi kweli? Unataka kuwaacha bamaga wenzio

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
katupe sasa unatuambia tupeleke deep green cars? wakaliokote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom