Kwa anayetaka kununua nyumba dar tuwasiliane

Kwa anayetaka kununua nyumba dar tuwasiliane

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
217
Tunauza nyumba za kuanzia 17m - 7bn, nyumba hizi zipo masaki , obey, mikocheni, mbezi beach , mbezi ya kimara , kawe nk tunazo nyumba mpya na chakavu. utatujulisha aina ya nyumba unayotaka then tutakutumia picha ya nyumba ya hiyo nyumba ama unaweza kuja na ukaiona. pia tuna viwanja vya ukubwa wote unaotaka hapa Tanzania.

Tumejipanga na tuona utaratibu wa namna ya kufanya hiyo kazi tupigie tutakwambia 0657 145555, 0755 099 291
& 0686 200 117 Akili.
 
Nyumba ya 20m mkuu wapi naweza pata?
 
Akiri una properties nyingi sana mikononi mwako, sidahni kama kwa style hii ni poa.
Ushauri wangu tafuta mtaalamu akufungulie blog yako uwe unaweka humo mali mbalimbali watu wanajitembelea wenyewe. Hii mambo ya kila anaetaka akutafute kwa simu utajigawa mara ngapi kaka?? Kwanza wateja wengi muda wa kuanza kutafutana na kuzurura hawana.
Siamini kama utahitaji lazima mtu akutafute physically ili ule "cha udalali" cha kumpelekea, siamini hivyo hata kidogo.

Ni hayo tu mkuu wangu
 

Attachments

  • DSC06249.JPG
    DSC06249.JPG
    540.8 KB · Views: 79
DSC06264.JPG DSC06195.JPG
mfano wa hizi nyumba hii ya kushoto inauzwa 90 iko mbagara hii ya kulia inauzwa 250m ipo tegeta karibu na bara bara
 
ndiyo kiongozi
Ok mkuu,ipo ufukweni kabisa?Ama ni some distance?Kama unayo ya ufukweni kabisa basi ninahitaji details mkuu,pia na picture,kwa mfano hizo hapo chini,unaweza kuona proximities zake from the water...Shukran.
Sanibel_Island_Beach_House_Back.jpg
Billy-Joel-beach-house-deck-beach.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom