Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakubwa salamu sana ama baada ya salamu naomba mwenye kujua Bei ya hizi Basi za Yutong sasa hivi sijui zimefika ngapi, Napenda kujua bei complete kabisa. Shukrani na abarikiwe kila asomae Post...
0 Reactions
12 Replies
20K Views
Natafuta Bulky Bee pollen kutoka mikoa ya Tabora na Iringa au kokote.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza laptop aina ya mackbook air new vision slime,b.berry bold 9700,9780 ,digital camera sony,na simu nyingine kibao.call me 0652740304 its me ally from Udsm
1 Reactions
7 Replies
2K Views
ndugu wana jf, kijana kwenye hiyo picha anafahamika kama godwin allen uisso, mkazi wa tabata msimbazi( lakini sasa hivi amehama na nyumba aliyokuwa anakaa) na simu yake haipatikani toka wiki...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza Nikon coolpix P90 ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana.Imetumika uingereza lakini imeshafika dar es salaam.Nauza pamoja na sd card ya 8GB bei ni shs 400,000 naomba wasiliana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji.nyumba vyumba.viwili sitting room jiko na choo iwe na luku yake na maji yawepo isiwe uswazi kunakojaa maji vyumba viwe vikubwa maeneo mwananyamala, kinondoni makumbusho bei Nina 150000...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza Camera ya Panasonic DMC-TZ20E ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Imetumika uingereza lakini imeshafika Dar es salaam.Inauzwa pamoja na SD card ya 4GB pamoja na battery 2 na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Halwaridi BLOGBlog hii ambayo inakubalika sana hapa nchini inatoa ofa maalum kwa wafanyabiashara kuitumia kutangaza biashara zao kwa bei ndogo sana.. Wasiliana nao kwa Simu:+255759782825...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Samsung Video Camera min DV VP-D381 ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana.Imetumika Uingereza lakini imeshafika Dar es salaam.Bei ni shs 250,000 naomba wasiliana katika namba...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
dell d520 hd 40gb ram 1gb 1.60ghz processor kwa 350000 ipo dodoma ni pm au 0713522445
0 Reactions
3 Replies
995 Views
SOLD....!!!! SOLD....!!!! 25 Oct. 2012
0 Reactions
26 Replies
3K Views
TOYOTA HILIX SURF Model: SSR-X Condition: Very Good condition-Used Drive Type: 4wheel drive Engine: Diesel: 2LT Passengers: 5 seats Doors: 5 Interior: Gray Exterior: Deep green...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Kwanza kabisa napenda kuwashukuru wana JF kwa ushirikiano mlionipa mpaka nikafanikisha kupata Laptop kwa tangazo la kwanza. Kwa mara nyingine natafuta tena nyingine iliyotumika kwa bei ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello..! Kwa anayehitaji PlayStation 2 - Games Decks kwa ajili ya biashara ya kuchezesha games au kwa matumizi ya nyumbani zinapatikana kwa bei nafuu. Zimetumika kidogo so bei yake ni cheap...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wateja wa dhahabu wanahitajika kuanzia kilo 1 as minimum and above. Pure kwa 97%. Bei $ 40,000 per kg.For more details pm.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Matrekta 5 aina ya Valmet,manne yakiwa ni model 2600 yaliyotumika yanahitaji matengenezo yanauzwa kama LOT yakiwa na vifaa vyake kama majembe,harrow,sprayers etc Yanapatikana Sinza Mori nyuma ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndugu wana JF! NIMEAMBATANISHA PICHA NA MAELEZO KWA MTU YEYOTE ATAKAYE SAIDIA KUPATIKANA KWAKE ZAWADI NONO ITATOLEWA WENU MDAU WA MAENDELEO KINO DAR
0 Reactions
9 Replies
2K Views
DLP INFOCUS X1, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni projector ambayo bado iko safi bulb life bado,kiujumla ni nzuri kwa bei nafuu na hitaji hela ya haraka kama unahitaji ni PM. BEI NI Tsh...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ina hali nzuri sana na ipo barabarani Tangu inunuliwe imekaa barabarani kwa mwaka mmoja, imesajiriwa kwa namba T293 BEK inauzwa Tsh . 52,000,000/= Kwa anayetaka kuona ipo kinondoni kwa manyanya...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Kwa anae hitaji Samsung mpya na Original s. gt 19000 Bei poa tsh 400,000\= Nicheck faster Zimebaki 5 Mawasiliano; 0714-074040
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom