Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Laptop Toshiba TECRA L2 ni laptop iliyo kuwa katika hali nzuri,ina uwezo wa kupiga kazi kwa muda mrefu bila ya kuchemka tofauti na laptop nyingine. Processor =Pentium R (1.73 GHz) ,Memory = 502 MB...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
habari wakuu,... natafuta ideos u8150 ya kununua,.. Kama kuna mdau anauza... Budget 100k.. Location (dar au mwanza)
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Viko vitatu size yake ni 4339sqm cha pili ni 2374sqm na kingine ni 2723sqm..Viko barabarani maeneo ya wazohill unaweza kuwasiliana N PM
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Price 185,000/= Carrier T-Mobile...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari, Iphone 4 32GB inauzwa kwa tshs. 550,000/= ni mpya. Pia kuna Samsung Galaxy S3 white bei ni 900,000/=Tuwasiliane kwa 0655003510
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani kwa mara nyingine tena nahitaji screen 22" mwenye nayo aina yoyote nipo dar
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wa elimu, napigia debe shule moja ya sekondari iliyopo Mbeya jijini. ITENDE SEC. SCHOOL Ni shule ya wasichana na wavulana Ni ya kutwa na hosteli ndani ya shule Imeanzishwa tangu 1992 Ina O...
0 Reactions
21 Replies
12K Views
Used Samsung T939 Behold 2 Android smartphone 3G, 5 MP camera, Wi-Fi, GPS, ... Price 199,000/= ni PM
0 Reactions
7 Replies
1K Views
ITEMS FOR SALE S/N ITEM QUANTITY UNIT PRICE (TSH) 1 Generator (2KV) - Elemax SH 2990 DXE 1pc 400,000...
0 Reactions
0 Replies
892 Views
kina nyumba ya vyumba sita, kimepimwa na kina hatimiliki. kama unahitaji niandikie; pdastor@yahoo.com
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza camcorder ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Ilitumika nchini Uingereza na sasa ipo Dar es salaam.Bei yake ni shs 550,000 naomba wasiliana katika namba hii 0766 915 299 Package...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kinapakana na chuo kikuu Dar . Hakuna dalali, anayehitaji ani-sms 0688037169 tufanye biashara
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natumaini ndugu zangu wana jf wote tumeamka salama, mimi nasoma hapa mliman mitaa ya Aru ila sijapata sehemu ya kuish kama una nyumba mitaa ya savery au mwenge au jirani na maeneo hayo.nijulishe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanaJF,naomba mwenye taarifa za kuweza kunisaidia nikafanikiwa kupata chumba kwa maeneo hayo,tuwasiliane!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nina kiwanja salasala bado hakijapimwa na kina ukubwa wa robo tatu ekari....kwa serious buyer only contact 0713348165 kiwanja kipo umbali wa 4 km kutoka barabara ya Bagamoyo na unaingilia Pale...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa salamu sana ama baada ya salamu naomba mwenye kujua Bei ya hizi Basi za Yutong sasa hivi sijui zimefika ngapi, Napenda kujua bei complete kabisa. Shukrani na abarikiwe kila asomae Post...
0 Reactions
12 Replies
20K Views
Natafuta Bulky Bee pollen kutoka mikoa ya Tabora na Iringa au kokote.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza laptop aina ya mackbook air new vision slime,b.berry bold 9700,9780 ,digital camera sony,na simu nyingine kibao.call me 0652740304 its me ally from Udsm
1 Reactions
7 Replies
2K Views
ndugu wana jf, kijana kwenye hiyo picha anafahamika kama godwin allen uisso, mkazi wa tabata msimbazi( lakini sasa hivi amehama na nyumba aliyokuwa anakaa) na simu yake haipatikani toka wiki...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza Nikon coolpix P90 ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana.Imetumika uingereza lakini imeshafika dar es salaam.Nauza pamoja na sd card ya 8GB bei ni shs 400,000 naomba wasiliana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom