Laptop Toshiba TECRA L2 ni laptop iliyo kuwa katika hali nzuri,ina uwezo wa kupiga kazi kwa muda mrefu bila ya kuchemka tofauti na laptop nyingine. Processor =Pentium R (1.73 GHz) ,Memory = 502 MB...
Wadau wa elimu, napigia debe shule moja ya sekondari iliyopo Mbeya jijini. ITENDE SEC. SCHOOL
Ni shule ya wasichana na wavulana
Ni ya kutwa na hosteli ndani ya shule
Imeanzishwa tangu 1992
Ina O...
Nauza camcorder ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Ilitumika nchini Uingereza na sasa ipo Dar es salaam.Bei yake ni shs 550,000 naomba wasiliana katika namba hii 0766 915 299
Package...
Natumaini ndugu zangu wana jf wote tumeamka salama,
mimi nasoma hapa mliman mitaa ya Aru ila sijapata sehemu ya kuish kama una nyumba mitaa ya savery au mwenge au jirani na maeneo hayo.nijulishe...
nina kiwanja salasala bado hakijapimwa na kina ukubwa wa robo tatu ekari....kwa serious buyer only contact 0713348165
kiwanja kipo umbali wa 4 km kutoka barabara ya Bagamoyo na unaingilia Pale...
Wakubwa salamu sana ama baada ya salamu naomba mwenye kujua Bei ya hizi Basi za Yutong sasa hivi sijui zimefika ngapi, Napenda kujua bei complete kabisa. Shukrani na abarikiwe kila asomae Post...
Nauza laptop aina ya mackbook air new vision slime,b.berry bold 9700,9780 ,digital camera sony,na simu nyingine kibao.call me 0652740304 its me ally from Udsm
ndugu wana jf,
kijana kwenye hiyo picha anafahamika kama godwin allen uisso, mkazi wa tabata msimbazi( lakini sasa hivi amehama na nyumba aliyokuwa anakaa) na simu yake haipatikani toka wiki...
Nauza Nikon coolpix P90 ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana.Imetumika uingereza lakini imeshafika dar es salaam.Nauza pamoja na sd card ya 8GB bei ni shs 400,000 naomba wasiliana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.