Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu heshima mbele,nahitaji laptop aina ya dell au hp iwe na hd ya kuanzia 80gb or 120 na kuendelea,hela iliyopo ni 300,000.
0 Reactions
3 Replies
962 Views
Wana JF, Natafuta bulldozer la kukodi kwa ajili ya kusafishia shamba jipya. Maana yake ni kusafisha pori na kung'oa visiki kwa kutumia bulldozer. Nataka kujua mwenye bulldozer anatoza shilingi...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Make Scania Model 93 HP 280 Year 1991 Tank 17040Liter Km 939085 CIF DAR Mil 40
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Ndugu wana Jamvi, Tunahitaji supplier wa raw materials kutoka Tanzania ambayo ni Saw Palmetto please if you have any information kuhusu supplier wa saw palmetto kutoka Tanzania tuwasiliane kwenye...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
kifaa maalum ama radio kwa ajili ya kupata wireless internet (corporate) inauzwa...imetengenezwa na Wavion kutoka Israel..bei usd 3000..nipm or call 0716 24 6226 for further negotiations. refer...
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Habari wana JF. natafuta pulling tela la scania kwaajili ya kukodisha liwe limiefunikwa (box body). Mwenye nalo tuwasiliane kwa makubaliano zaidi. mimi nipo Dar
0 Reactions
3 Replies
2K Views
HABARI WADAU; kama kuna yeyote mwenye mizani ya kupimia kwa kutumia mawe, au anajua inapouzwa (hata used) naomba tuwasiliane chapchap. sms or call 0762959725 or ni pm.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HABARI WADAU; kama kuna yeyote anayejua/ anamjua au ana ujuzi wa kupata till number ya Tigo pesa (uwakala wa tigo pesa), naomba tuwasiliane. nilifika kwa agents wao mmoja akaniambia kwa sasa...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
230,000 Kama unaihitaji ni pm
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Wana JF nawasalimu. Ninauza gari Suzuki Escudo milango 5 kwa Sh. 8,200,000/=. Gari liko Dar, lina hali nzuri na linatembea. Kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hlw ninauza nokia e66,imetumika muda mrufu,ni original na haina tatizo isipokua keypads zimechoka. Nauza kwakua nimenunua BB. 0713979110 Nipo Dar
0 Reactions
2 Replies
1K Views
GlanzaS for sell 5 months in Tanzania,driven by a lady...alloy wheel,jvc music and subwoofer. Serviced on time....asking price 10.5M.......Contact 0713 123 673
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wana jamvi natafuta LED tv 22" nina Tsh 300,000/=tu iwe ni mpya nipo dar
0 Reactions
1 Replies
851 Views
Samsung LCDTV 22 series 4 400 inauzwa 200,000/= Ni original na ina HDMI imetumika kama mwezi tu. Kwa aliye interested na yuko Dar ani PM.
2 Reactions
16 Replies
2K Views
natafuta chumba cha kupanga banana, majumba 6 au jiran na hapo. hata km self ni nzuri zaidi. Kiwe na maji, umeme, maji. mazingira mazuri. sio uswahilin sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Androids Smartphones zinauzwa, zimetumika kidogo. 1.HTC Wildfire s bei Tzshs. 200.000. 2. HTC Wildfire bei ni Tzshs. 180.000 3. Orange San Fransisco bei Tzshs. 180.000. Simu zote ziko katika...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
.Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Tangaza Marketing Solutions: Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions Lengo kuu nikusaidia Wajasiriamali na Wafanyabiashara kuweza kujua Wateja wao na wateja kujua bidhaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
pata mini android tablet ina 2gb internal ,ina play audio na video,ina wifi,camera na camcoder kwa anayeitaka ani pm price ni buku 80 tu
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wakuu habari,natafuta chumba cha kupanga buguruni,kiwe kizuri,seling board safi,kisiwe kina vuja,kiwe ndan ya fens,usalama uwepo,in short kiwe cha kisasa cha kukaa mtu mstarabu,piga hz no.#0719477815
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom