Wana JF,
Natafuta bulldozer la kukodi kwa ajili ya kusafishia shamba jipya.
Maana yake ni kusafisha pori na kung'oa visiki kwa kutumia bulldozer.
Nataka kujua mwenye bulldozer anatoza shilingi...
Ndugu wana Jamvi,
Tunahitaji supplier wa raw materials kutoka Tanzania ambayo ni Saw Palmetto
please if you have any information kuhusu supplier wa saw palmetto kutoka Tanzania tuwasiliane kwenye...
kifaa maalum ama radio kwa ajili ya kupata wireless internet (corporate) inauzwa...imetengenezwa na Wavion kutoka Israel..bei usd 3000..nipm or call 0716 24 6226 for further negotiations.
refer...
Habari wana JF. natafuta pulling tela la scania kwaajili ya kukodisha liwe limiefunikwa (box body).
Mwenye nalo tuwasiliane kwa makubaliano zaidi. mimi nipo Dar
HABARI WADAU;
kama kuna yeyote mwenye mizani ya kupimia kwa kutumia mawe, au anajua inapouzwa (hata used) naomba tuwasiliane chapchap. sms or call 0762959725 or ni pm.
HABARI WADAU;
kama kuna yeyote anayejua/ anamjua au ana ujuzi wa kupata till number ya Tigo pesa (uwakala wa tigo pesa), naomba tuwasiliane. nilifika kwa agents wao mmoja akaniambia kwa sasa...
Wana JF nawasalimu. Ninauza gari Suzuki Escudo milango 5 kwa Sh. 8,200,000/=. Gari liko Dar, lina hali nzuri na linatembea. Kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane.
GlanzaS for sell 5 months in Tanzania,driven by a lady...alloy wheel,jvc music and subwoofer.
Serviced on time....asking price 10.5M.......Contact 0713 123 673
natafuta chumba cha kupanga banana, majumba 6 au jiran na hapo. hata km self ni nzuri zaidi.
Kiwe na maji, umeme, maji. mazingira mazuri. sio uswahilin sana.
Androids Smartphones zinauzwa, zimetumika kidogo.
1.HTC Wildfire s bei Tzshs. 200.000.
2. HTC Wildfire bei ni Tzshs. 180.000
3. Orange San Fransisco bei Tzshs. 180.000.
Simu zote ziko katika...
.Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
Tangaza Marketing Solutions:
Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions
Lengo kuu nikusaidia Wajasiriamali na Wafanyabiashara kuweza kujua Wateja wao na wateja kujua bidhaa...
wakuu habari,natafuta chumba cha kupanga buguruni,kiwe kizuri,seling board safi,kisiwe kina vuja,kiwe ndan ya fens,usalama uwepo,in short kiwe cha kisasa cha kukaa mtu mstarabu,piga hz no.#0719477815
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.