Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta fundi mzoefu wa kujenga swimming pool. Mwana jamiiforum yeyote anayefahamu fundi mzuri naomba contacts.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nina shilingi 5 M, Mwenye nayo anipm au anicheki kwa simu 0755923374 au frehape@gmail.com. nitumie picha ya gari kwenye imeili hiyo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I have few 230 Watts Poly Solar Panels for sale at a very reasonable price of 1,200,000/= Tshs each OVNO. You only need a battery, Charge Controller, Inverter and wiring to forget about Tanesco...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Wapendwa nimeanza biashara hii mwezi july, 2012. Sijakutana na shida kama hii jana mtu amekuja akitaka awekewe 450,000/= kwenye account yake akampatia mwanangu laki nne na nusu feki, na tumegundua...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
wadau kwa anayehitaji nauza kiwanja 20 X 20. kipo Mabwepande sifa zake jirani na barabara umeme nguzo moja tuu haijapimwa ila hakuna tatizo bei ni shilingi milioni tatu (3000,000) hakuna dalali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89 -Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja -Ni nyumba...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Wandugu mwenye taarifa positive za vyumba vya kupanga, iwe ni self ama kawaida, pamoja na bei zake, maeneo ya magomeni ama sinza tafadhari tuwasiliane haraka.
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Panasonic LUMIX DMC-TZ20/DMC-ZS10 14.1 MP Digital Camera - BlackNauza Camera ya Panasonic DMC-TZ20E ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Imetumika uingereza lakini imeshafika Dar es...
0 Reactions
0 Replies
943 Views
NYUMBA INA SIFA ZIFUATAZO Kiwanja kimepimwa sqm 1092 kina offer Vyumba 4 vya kulala 1 master Juu gypsum chini cement ya kawaida ina store, jiko , sehemu ya kula chakula. imezungushiwa ukuta...
2 Reactions
40 Replies
5K Views
contact: 0714319384 whatsapp/sms/call skype: emilkpwayne price: 750,000 *maelewano, exchanges zipo.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kila Cd ni tsh 60 na cd za ku install tsh10 CD games God of war 3 Metal Gear Solid:Guns Of The Patriots Ratchet and clank crack in time Just cause 2 Motorsports Install games Need For Speed...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nauza LCD flat screen Tv Aina ni ya TCL Made in China. inch 24 Tsh 300,000/= kila moja. Zina mezi 2 tangia nimezinunua. Mawasiliano: 0714-074040 0767-074040 0785-074040
0 Reactions
1 Replies
980 Views
VIKO GOBA MATOSA SIZE 20*20 3MILLION,25*20 3.5MILLION, 40*20 6MILLION NA 40*25 7MILLION MAONGEZI YAPO. VYOTE VINAFIKIKA KWA GARI na UMEME UKO JIRANI. piga 0718334726/0769055577 kwa taarifa zaidi.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD SOLD Make Scania Model 113 Hp 320 Year 1995 KM 682.000 Bei CIF DAR TZS MIL. 42
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba mpya ipo kilomita 2 kutoka mbezi mwisho kuelekea barabara ya makabe, yenye uzio, paking ya kutosha na finishing ya kisasa, master bedroom na vyumba vingine 2,pamoja na sebule na jiko...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hiv jaman wana jf kupata ujumbe kwa njia ya sms kuhucana na jf. Hii huduma ni bure au......
0 Reactions
0 Replies
670 Views
contact: 0714319384 skype:emilkpwayne *maelewano,exchange zipo so nitafute
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kueleweshwa nikiwa na gari ya kutembelea yenye plate number za nje lets say Botswana, kuna matatizo yeyote ya urahisi wa kuibiwa? Maana ntakuwa sijalisajiri, au matatizo gani wanayokumbana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta gari-suzuki escudo offer 5-6million
0 Reactions
9 Replies
3K Views
nauza pikipiki aina ya sanlg original cc 125, rangi nyekundu, nimetumia miezi 6 tu, matumizi binafsi siyo bodaboda, ina kadi na docs zote, imetembea 6000kms, haina tatizo lolote, bei ni...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Back
Top Bottom