I have few 230 Watts Poly Solar Panels for sale at a very reasonable price of 1,200,000/= Tshs each OVNO.
You only need a battery, Charge Controller, Inverter and wiring to forget about Tanesco...
Wapendwa nimeanza biashara hii mwezi july, 2012. Sijakutana na shida kama hii
jana mtu amekuja akitaka awekewe 450,000/= kwenye account yake akampatia mwanangu laki nne na nusu feki, na tumegundua...
wadau kwa anayehitaji nauza kiwanja 20 X 20. kipo Mabwepande
sifa zake
jirani na barabara
umeme nguzo moja tuu
haijapimwa ila hakuna tatizo
bei ni shilingi milioni tatu (3000,000) hakuna dalali...
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89
-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja
-Ni nyumba...
Wandugu mwenye taarifa positive za vyumba vya kupanga, iwe ni self ama kawaida, pamoja na bei zake, maeneo ya magomeni ama sinza tafadhari tuwasiliane haraka.
Panasonic LUMIX DMC-TZ20/DMC-ZS10 14.1 MP Digital Camera - BlackNauza Camera ya Panasonic DMC-TZ20E ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Imetumika uingereza lakini imeshafika Dar es...
NYUMBA INA SIFA ZIFUATAZO
Kiwanja kimepimwa sqm 1092 kina offer
Vyumba 4 vya kulala 1 master
Juu gypsum
chini cement ya kawaida
ina store, jiko , sehemu ya kula chakula.
imezungushiwa ukuta...
Kila Cd ni tsh 60 na cd za ku install tsh10
CD games
God of war 3
Metal Gear Solid:Guns Of The Patriots
Ratchet and clank crack in time
Just cause 2
Motorsports
Install games
Need For Speed...
Nauza LCD flat screen Tv
Aina ni ya TCL Made in China. inch 24 Tsh 300,000/= kila moja.
Zina mezi 2 tangia nimezinunua.
Mawasiliano:
0714-074040
0767-074040
0785-074040
Nyumba mpya ipo kilomita 2 kutoka mbezi mwisho kuelekea barabara ya makabe, yenye uzio, paking ya kutosha na finishing ya kisasa, master bedroom na vyumba vingine 2,pamoja na sebule na jiko...
Naomba kueleweshwa nikiwa na gari ya kutembelea yenye plate number za nje lets say Botswana, kuna matatizo yeyote ya urahisi wa kuibiwa? Maana ntakuwa sijalisajiri, au matatizo gani wanayokumbana...
nauza pikipiki aina ya sanlg original cc 125, rangi nyekundu, nimetumia miezi 6 tu, matumizi binafsi siyo bodaboda, ina kadi na docs zote, imetembea 6000kms, haina tatizo lolote, bei ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.