kiwanja kinauzwa mabwepande kina ukubwa wa mita 40 kwa 40 kwa kiasi cha sh mil. 4 kiwanja kinatazamana na viwanja vya mradi kwa mhitaji piga 0712868672
Wadau wenye uzoefu na magari.naomba ushauri wa aina gani ya gari(automatic) nayoweza kununua baada ya kuuza niliyonayo.isizidi 1500cc. Nategemea kuwa na tsh 7milions baada ya kuuza na kuongezea...
Kwa anayependa tuwasiliane...
Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive, automatic, 4 doors, power windows, engine 1.6cc, fuel Petrol, New tyres, valid registrations etc...
Ni kampuni inayotoa huduma ya ulinzi na usafi maofisini, majumbani, kwenye kumbi za starehe,bank, mashuleni, hospitalini, makanisani n.k kwa mkataba wa masaa, siku, wiki, mwezi, mwaka na...
Wanajf wote mnakaribishwa kwenye semina ya neno la Mungu kutoka kwa Mwalimu Christopher Mwakasege pale diamond jubilee siku ya kesho mchana(jumapili)
kiingilio ni bure!
Mnakaribishwa
mkumbushe...
Wadau wenye uzoefu na magari.naomba ushauri wa aina gani ya gari(automatic) nayoweza kununua baada ya kuuza niliyonayo.isizidi 1500cc. Nategemea kuwa na tsh 7milions baada ya kuuza na kuongezea...
a) Eneo la kibada (Kigamboni)
b) Ukubwa wa eneo isiwe chini ya mita za mraba 950
c) Kiwanja kiwe upande wa kushoto wa barabara kama unaelekea Kibada
d) Kikiwa maeneo ya full shangwe ni vizuri...
Habari ndudu zangu? Nataka kununua simu aina ya Nokia E72 iliyotumika (used). Hivyo, basi ikiwa kama kuna mtu yupo tayari aniuzie, au kama kuna mtu anafahamu zinapouzwa anijulishe. Tuwasiliane...
KIPO KIPALANG'ANDA KWA RUBAHA(MKURANGA) BEI NI MILLONI MOJA (1) UNAWEZA UKALIPA NUSU NA NUSU UKAMALIZIA ILA KWa maelewano MAALUM.
UKUBWA NI ROBO EKARI NI 25 KWA 25.
KIPO KARIBU NA BARABARA...
Naona matangazo ya mafundi wanauliza IMEI number from people bila kuwaambia risk iliyopo kuweka information hiyo public. Sasa sijui tatizo ni kwamba hawajui au they care less. Shule hii hapa...
2006 daf xf95 480 horse power, super space cab, 6x2 midlift, tipping gear, manual gearbox
Brand new from UK just came, the truck is still in the port of dar es salam, everything is paid...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.