Shamba/ardhi gezaulole inauzwa

Shamba/ardhi gezaulole inauzwa

Mikongeni

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
32
Reaction score
4
Wapendwa wana JF, kama kuna anayetafuta eneo la kununua au anayemfahamu anayetafuta ardhi ya kununua nina karibia heka mbili Gezaulole na ninaziuza. Mambo hayaniendei vizuri na nataka hii hazina yangu inikwamue. Ni eneo langu mwenyewe na bei ni shilingi milioni 60 za Tanzania. Ni eneo lililo tambarale na lipo karibu sana na ufukwe (beach). Bei hii ni poa kulinganisha na wauzaji wengine! Nipigie moja kwa moja 0755872551 tuongee.
 
square mita 750 utanimegea kwa tshs ngapi?sina milioni 60 ntaka kujenga kakibanda ka ukubwa huo,yani mita 30 kwa 25 tu please
 
Kwa sasa naangalia uwezekano wa kuliuza lote kwa ujumla ili nitatue tatizo lilinikabili. Nitakujulisha kama nikiamua kuligawa. Asante
 
hata mie nataka nusu heka, kama ukiamua kuuza vipandevipande nisitue tufanye biashara.
 
Wapendwa wana JF, kama kuna anayetafuta eneo la kununua au anayemfahamu anayetafuta ardhi ya kununua nina karibia heka mbili Gezaulole na ninaziuza. Mambo hayaniendei vizuri na nataka hii hazina yangu inikwamue. Ni eneo langu mwenyewe na bei ni shilingi milioni 60 za Tanzania. Ni eneo lililo tambarale na lipo karibu sana na ufukwe (beach). Bei hii ni poa kulinganisha na wauzaji wengine! Nipigie moja kwa moja 0755872551 tuongee.

na hiyo mamlaka ya kigamboni inakuwaje??
 
Unavuka Kigamboni na kuendelea mbele, ni tkribani km.8 toka Kigamboni
 
Nakwenda kuangalia uwezekano wa kuligawa vipande kesho. Nitakujulisha nikishaligawa.
 
Nimeamua kugawa shamba kwenye vipande. Atakayependa kufika na kuona sehemu hii ilipo, anitumie ujumbe au kunipigia kwenye namba niliyotoa ili tupange kwenda kuangalia sehemu yenyewe.
 
Bado unataka kipande? Naweza kukukatia kama unapenda. Nipigie tuongee.
 
Back
Top Bottom