Salaam wakuu.
Hivi hapa DAR kuna sehemu naweza kupata mashati ya size 16-18,lakini ya good quality?hata kama ni local made??
Sihitaji branded lakini naweza ku afford kama 30-40,000TZS/shirt.
Nimekwenda maduka mengi Quality Plaza-hapa yako mpaka ya 99,000 lakini ?*?samora -loooh!
Lakini nina imani panaweza kuwa na watu hata kama wana import kutoka UK/US/Brazil , hata kama ni nyumbani nitayafuata.
Nimeamua kuuliza kwa sababu ya Kariakoo labda nanunua sehemu/maduka mabaya.
Asanteni!
Hivi hapa DAR kuna sehemu naweza kupata mashati ya size 16-18,lakini ya good quality?hata kama ni local made??
Sihitaji branded lakini naweza ku afford kama 30-40,000TZS/shirt.
Nimekwenda maduka mengi Quality Plaza-hapa yako mpaka ya 99,000 lakini ?*?samora -loooh!
Lakini nina imani panaweza kuwa na watu hata kama wana import kutoka UK/US/Brazil , hata kama ni nyumbani nitayafuata.
Nimeamua kuuliza kwa sababu ya Kariakoo labda nanunua sehemu/maduka mabaya.
Asanteni!