Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nauza sasaa kwa laki 3 black colour :1 GB mmc: cable : cover check me 0712 507060 ...price negotiatable:-)
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu. Nyumba inauzwa ipo Kinondoni Mkwajuni. Sifa za Nyumba: Nyumba kubwa ina vyumba vitano, vitatu vinawapangaji viwili vimeezekwa havijawekwa milango wala madirisha. Na kimoja...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wadau JF, ardhi nusu heka inauzwa Kimbiji, 0.5km kutoka barabara kubwa. Bei sh. Milion 5. Piga 0767833995 au ni-PM kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa mtaa wa tabora ilala boma......nyumba ipo karibu na barabara bei milion 400....maelewano yapo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu. kama heading inavyojieleza, najua Watanzania wapo waliosomea na kubobea katika hilo, hivyo basi mwenye ujuzi na utaalamu wa kile nnachokihitaji nnaomba tuwasiliane tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF. Gari inauzwa ipo kwenye khali nzuri. haina udalali. naomba mwenye nia ya kununua tuwasiliane kwa namba hizi 0689141483 0784474919 0717706259 Bei maelewano.Napatikana Dar. Asanteni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Greetings from True RoadTechnologies Limited!------A One stop CAREER & PERSONAL Development Centre True Road Technologies Limited is a career and personally development company with office at...
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Shilling 320,000. Namba 0713656256. In good condition
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Earn money from your own affiliates With the MobPartner affiliate referral program you can earn even more money by referring other publishers to MobPartner. This translates to 5% additional...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninatafuta kiwanja cha size (30m*40) minimum size au shamba Arusha. Nilikuwa nataka sehemu ambayo ninaweza kujenga nyumba na sehemu ikabaki kwaajili ya kuweka migomba na n.k. Naitaji sehemu isiwe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wadhee mamboz? mimi ni reseller wa vocha za www.tunnelguru.com kama kuna mtu anahitaji ani pm. ni buku 10 unlimited monthly. muda wa mauzo ni anytime lakini mara nyingi ni kuanzia saa 12 jioni...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Nyumba mbili zinauzwa moja ilala bungoni na nyingine ilala mtaa wa bukoba mwenye kuhitaji anitafute.....0713935738
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja cha ukubwa wa mita 26 kwa 16 kwa sh 500.000 nasiliana nami kwa e-mail ifuatayo Ayoub76@mocospace.com
0 Reactions
9 Replies
3K Views
salam wakuu, simu aina ya sony ericson u1i inauzwa, nimeitumia kwa wiki 3 ila kutokana na hali ya uchumi kuwa mbaya nimeona niiuze! Anayehitaji ani pm ofa yake, nipo dsm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habarini! Moja ya makampuni yanayofanya shuguli kupitia trade car view ni VALUE PLANNER CO.,LTD je kuna yeyote ambaye amewahi kuitumia hii kampuni? Uhakika wake na wa mzigo ukoje?
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Ina sifa zifuatazo ( ipo mikocheni maeneo ya shoppers plaza ) Vyumba 4 , ambavyo vinamatumizi tofauti mfano 2 ni kwa ajiri ya ofisi 1 flem 1 store na choo vyumba vyote vina A/C , viti vya kisasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
www.tangazo.com | Connecting Businesses ni tovuti pekee nchini Tanzania inaounganisha Mabiashara Zote hapa Nchini. Kwa habari zaidi tembelea website yetu www.tangazo.com | Connecting Businesses...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Model no HT-D330K MODEL CODE HT-D330k/ke Source 37w made by Samsung bei laki 3na elf 20 simu 0712690760 karibu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman nna shida na rum. Iwe kubwa, nymb yny maj na umeme. Mitaa ya Kinondon, Sinza au Ubungo. Naomba anayemjua dalal au km binafsi unajua rum ilipo plz naomba uni pm ili tuwasiliane kwa simu. Asante
0 Reactions
2 Replies
1K Views
fan working perfect 35000tsh call 0789973787
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom